MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,199
Ushindani umewashinda, waende wanakwenda.Kampuni ya Bharti Airtel ina mpango wa kujiondoa katika nchi 15 za kiafrika , Ikiwamo Tanzania , baada ya kutofanya vizuri katika robo ya mwisho ya mwaka jana .
Chanzo - Mwananchi .