BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,110
Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri,, kampuni za sim wanapata faida kubwa lakini pia ni wakwepaji wazuri kodi,, sera ya uwekezaji tanzania tunampa muwekezaji grace period then baada ya hapo ndo tunaanza kudai kodi,, ukiona ivo grace period imekaribia kuisha,, wanabadilisha majina tuu but management inabadilika kidogo tuu,,, kwa kufanya hivyo hawawezi kulipa kodi ata miaka 100 maana watakua wanabadilisha jina la kampuni kila siku. Na kingine mkuu viwanda sio uyoga within a year viwe tayari. It took hundred years for USA to be the leading country in the world. Acheni siasa zisizo na mashiko wadau,,
La! Wajinga ndio waliwao! Tanzania nchi yangu!!