Kampuni ya Airtel kujiondoa Tanzania

Status
Not open for further replies.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,340
Kampuni ya Bharti Airtel ina mpango wa kujiondoa katika nchi 15 za kiafrika, Ikiwamo Tanzania , baada ya kutofanya vizuri katika robo ya mwisho ya mwaka jana

======

SATURDAY, JANUARY 28, 2017 Airtel yafikiria ‘kuzitema’ nchi 15
mbando+pic.jpg

Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando. PCHA| MAKTABA

Kwa ufupi
Juzi gazeti hili liliripoti mchakato wa kupunguza wafanyakazi wa kitengo cha huduma kwa wateja huku sababu zikitolewa kuwa ni kudorora kwa biashara.

By Muyonga Jumanne, Mwananchi mjumanne@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Kampuni ya Bharti Airtel ina mpango wa kujiondoa kutoka nchi 15, ikiwamo Tanzania, baada ya kutofanya vizuri katika robo ya mwisho ya mwaka jana.

Juzi gazeti hili liliripoti mchakato wa kupunguza wafanyakazi wa kitengo cha huduma kwa wateja huku sababu zikitolewa kuwa ni kudorora kwa biashara.

Katika kipindi hicho, imeelezwa kuwa Airtel ilipata hasara ya Sh203 bilioni kutokana na kutofanya vizuri sokoni, kulinganisha na hasara ya dola 170 milioni iliyopata mwaka jana.

Akiongea na mtandao wa habari za kiuchumi wa Bloomberg, Mwenyekiti wa Bharti inayomiliki Airtel, Sunil Bharti Mittal alisema wameamua kuunganisha biashara au kuuza hisa zake kwenye nchi 15 za Afrika ili kulipa madeni.

“Hali ngumu ya kiuchumi imeikumba dunia, hata nchi za Marekani na China, hivyo nchi 15 za Afrika zitaathirika na mpango huu,” alisema Mittal.

Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando alisema ameiona taarifa hiyo katika vyanzo vikubwa vya habari ila kwa Tanzania bado hawajataarifiwa.

Alisema hawezi kutolea ufafanuzi taarifa hiyo kwa kuwa ni suala la makao makuu ya kampuni hiyo, Bhatli Airtel iliyopo nchini India na kwa Afrika tawi kuu lipo Nigeria.

Chanzo: Mwananchi


Kutoka vyanzo vingine:

Bharti Airtel, the mother company of Airtel Ghana, has announced that it will be exiting 14 African countries including Ghana within a year.

The affected countries include Ghana, Nigeria, Congo, Chad, Gabon, Kenya, Madagascar, Malawi, Niger, Rwanda, Seychelles, Tanzania, Uganda and Zambia.

Source: Airtel to exit Ghana this year

Airtel Considering Exits, Stake Sales at Some Africa Operations

Bharti Airtel Ltd., India’s largest mobile-phone operator, is considering mergers or stake sales at some of its Africa operations as it looks to cut debt and make its biggest overseas acquisition profitable.

The moves would pare the size of operations in the continent and could be completed within a year, Chairman Sunil Bharti Mittal said in an interview with BloombergQuint at the World Economic Forum in Davos. Some of Bharti’s businesses in 15 African nations would be affected, he said.

Faced with an escalating price war in its home market, Bharti is looking for ways to pare net debt equivalent to about $12 billion as of September. The company has sold its Sierra Leone and Burkina Faso operations, as well as some of its tower businesses, as it reorganizes assets it bought in 2010 in a $9 billion deal with Kuwait’s largest mobile-phone operator.

Bharti’s African unit lost $91 million in the quarter ended September, compared with a $170 million loss in the previous year.

As part of the debt reduction, Bharti is also considering selling a stake in Bharti Infratel Ltd., its tower unit. A committee was studying whether the sale would be a minority stake or control of the tower unit and a decision could be taken in a month, Mittal said. In October, Bharti said in a stock exchange filing that it had formed a committee to evaluate options for its 73.5 percent stake in Bharti Infratel.

Mittal’s moves come partly in response to the entry of India’s richest man Mukesh Ambani into India’s wireless telecommunications market last year. Ambani stormed into what was already one of the most brutally competitive telecom markets in the world with an offer of free voice services, forever, and free data services for limited time.

Ambani’s Jio mobile-phone service will probably force the exit of the smaller players in a market with almost a dozen operators, Mittal said in the interview. Among them is Telenor ASA, the Nordic region’s largest phone company. Bharti was among those in discussions to buy Telenor’s India business, Mittal said.

Bharti, which will announce its earnings for the quarter ended December on Jan. 24, may have been hit by India’s currency ban, Mittal said. The Nov. 8 late evening announcement by Prime Minister Narendra Modi that canceled 15.4 trillion rupees of the 17.7 trillion rupees in circulation may have an 8 percent to 10 percent impact on revenue. About 94 percent of Bharti’s India customers use prepaid phone connections and were unable to recharge their phones in the ensuing cash shortages that plagued the nation.

======

UPDATE 2: January 30, 2017

Airtel Africa Wamekanusha habari hii..

=======

Airtel Dispels Rumours of African Market Exit, Says it’s Here to Stay

After word went round last week that Airtel Africa, one of the largest telecommunications companies on the continent, was planning an exit from the market, the company has moved swiftly to dispel any such rumours.

In a statement, Airtel Africa CEO and Managing Director Raghunath Mandava, cites the company’s positive Q3 2016 results (its best quarter in over 2 years) and its planned 4G network rollout in several African countries as some of the things that show, respectively, the telecommunications company’s overall business outlook and commitment to the African market.

The company’s restructuring efforts and several other happenings over the last one year in the 15 African countries where Airtel currently operates in have led to widespread speculation that the company was preparing to exit the African market.

The company has in the last 2 years, sold off its operations in 2 African countries, Burkina Faso and Sierra Leone to French telecommunications company Orange with a further potential sale of its operations in the central African countries of Chad and Congo (Brazzaville) not being ruled out.

Bharti Airtel Africa which is part of the larger India-based Bharti Airtel Ltd, one of the biggest telecommunications firms in the world with over 364 million customers, has faced several huddles in the markets it operates in on the continent. In Kenya, for instance, its subsidiary has faced stiff competition from market leader Safaricom whose majority shareholder is British telecommunications giant Vodafone and whose revolutionary mobile money product, M-PESA, and its rollout of 4G across the country, have ensured it stays a leg up ahead of competitors.

Just recently, Airtel Kenya silently withdrew from the market its Unliminet product, a data product unveiled in early 2015 that was meant to woo Kenyans to the network through affordable and unlimited* social media-focused data plans as the company sought to tap into the growing mobile data market in the country. The company has yet to explain why the product was pulled but it’s anyone’s guess why that happened.

According to Airtel Africa, “data consumption and revenues have grown by 91% & 24% year over year respectively”, something it attributes to “stronger data networks”.

According to data from the telecommunications industry regulator in Kenya, the Communications Authority, Airtel Kenya had 6.7 million subscribers out of the 38.5 million mobile subscribers in the country recorded in the third quarter of 2016, a slight increase from the 6.5 million the previous quarter. Airtel accounts for just over 20% of Kenya’s mobile internet subscriptions, a figure it will be hoping to boost when it finally rolls out its 4G network. The company is set to start testing its 4G network in the country this week.

In Kenya, just like in Africa’s most populous nation, Nigeria, the local operations have been passed on from one company to another (Kencell-Celtel-Zain, in Kenya and ECONET Wireless-Vodacom-Vmobile-Celtel-Zain, in Nigeria) before landing in the hands of Bharti Airtel, a scenario that some believe has put the current owners in a catch 22 situation.

Should Bharti Airtel just pack its bags and exit the Kenyan (and African market at large) or should it stay put? This has been an ongoing discussion in our forums for a year now, long before the recent rumours abound. Jump in!

Chanzo: Airtel Dispels Rumours of African Market Exit, Says it's Here to Stay
 
Celtel - Zain - Airtel - what next _______?? Farutel or ..?

Wee huo ni mchezo wa kibiashara, ili kuuza kampuni waseme inapata hasara, soon watabadili jina, ila wateja wao watabaki wale wale, jua kuna ukwepaji mkubwa wa kodi kwa kutangaza kampuni inafilisika, ili wauze kwa bei cheeee wakifcha mauzo halisi, kisha wanaendelea na business, hili Airtel wanafanya sana, ndio mchezo wao kila baada ya miaka kama 7 hv wanabadili jina tu..
 
Wee huo ni mchezo wa kibiashara, ili kuuza kampuni waseme inapata hasara, soon watabadili jina, ila wateja wao watabaki wale wale, jua kuna ukwepaji mkubwa wa kodi kwa kutangaza kampuni inafilisika, ili wauze kwa bei cheeee wakifcha mauzo halisi, kisha wanaendelea na business, hili Airtel wanafanya sana, ndio mchezo wao kila baada ya miaka kama 7 hv wanabadili jina tu..
Asante kijana kwa kunipa taarifa hii muhimu. Mungu akubariki sana.
 
Hiv ndivyo wanasisiem wanavyojifariji baada ya maji kuzid unga. Time will tell ilikuwa ITV, KAIRUKI HOSPITAL, LEO AIRTEL KESHO SIJUI NANI?
''WALIZOEA MADILI, WAPIGA DILI HAWANA NAFASI KTK NCHI HII"
Uhakiki ni dili la kuminya watu haki, watafeli sana. Chozi la maskini huwa haliend bure bure. Baada ya kutafuna fedha, uhakiki umekuwa chaka la kujificha.
HELSB 15%. VIWANDA BADO HAVIJAJENGWA TU TUOKOE TSH YETU KUSHUKA AU NDIYO WATAJENGA VIWANDA VYA DOLA?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom