Kampuni/ofisi yenu inahitaji mtu wa IT?

Kampuni/ofisi yenu inahitaji mtu wa IT?

Demu kwa lugha ya kiuni...
Lugha ya staha ni mwanamke...

Ati wewe ni mwanamke wangu??
Ooh hiyo demu ilinichanganya si unajua tena sisi wahenga viswahili vya kihuni tupo navyo tofauti

Lolote linawezekana me kuwa mwanamke wako sababu we mwanaume na mimi mwanamke hakuna kinachoshindikana

Acha tu niwaache na nilivyowakuta mnaulizana
 
Ooh hiyo demu ilinichanganya si unajua tena sisi wahenga viswahili vya kihuni tupo navyo tofauti

Lolote linawezekana me kuwa mwanamke wako sababu we mwanaume na mimi mwanamke hakuna kinachoshindikana

Acha tu niwaache na nilivyowakuta mnaulizana
Message delivered
 
Back
Top Bottom