Deleted_account
JF-Expert Member
- Nov 1, 2008
- 3,385
- 3,704
- Thread starter
- #61
Msaada wenu unahitajika
hahaha,,,, cha msingi awe kipanga practically na G.P.A tamu yenye mvuto,, sio tia maji tia maji,, kazi ziko kibao tuu cha msingi awe full programmer kama nilivyosema hapo juu,,, dunia ya leo C++ tuu,,,
GPA ya nini? , mimi sijasoma IT wala CS, ila mtam kwenye languages, na nimesha fanya baadhi ya kazi, na pesa naingiza.
Elimu yangu ni form 4, tu. Haya mambo nilijifunza mwenyewe
Still waiting
Kweli kabisa, bila kazi hali ni mbayaaisee namwonea huruma sana mtaani pamechafukwa sana master
BalaaDah huu uzi naon mmekuja kumshambulia mwenye topic
ShukraniKila la kheri...
SijakuelewaMkuu, Hizi unajua roles za I.T officer?
Unazijua roles za I.T OFFICER?Sijakuelewa
Ndio mkuuUnazijua roles za I.T OFFICER?
Mpe mtaji mkuu uone kama atashindwa!?Mtu amesomea IT bado unahangaika na ajira.
Mbona uwezekano wa kujiajiri ni mkubwa sana