Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
american english + charting style.
Wewe ff una..
suala la yeye kujua au kutokujua kiingereza kama mheshimiwa sio suala eti kisa bungeni wanatumia lugha ya kiswahili na kingereza hata kama hajui kiingereza na siku hiyo wakitumia lugha ya kingereza atapewa kifaa cha kutafsiri huoni kwenye mikutano mikubwa ya ma rais mbali mbali wakiwa hawajui english wanapewa machine maalum ya kutafsiri kwa lugha yao au wewe ulifikiri ni nini wanasikiliza mziki lol
so kama ma rais wakubwa kutokujua english sio inshu hata yeye mbunge sio inshu.....
Nawasilisha
Inasemekana Aliishi Ulaya na Marekani sasa sijui alikuwa shamba boy maana inawezekana hakuwa na nafasi ya kuonana na watu ndio maana hakunufaika ni uko kuishi ulaya.
inasemekana aliishi ulaya na marekani sasa sijui alikuwa shamba boy maana inawezekana hakuwa na nafasi ya kuonana na watu ndio maana hakunufaika ni uko kuishi ulaya.
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
Vuzuri = vizuriSasa kama hajui Kiingereza kwanini hapo alitumia Kiingereza, mimi naona si vyema kwa mheshimiwa kwenda katika majukwaa yanayosomwa dunia nzima kuandika lugha asyoijuwa vuzuri. Au na Kiswahili hakijui?
Wenzake huwa wanatafuta wakalimani.
Ndio maana hatuendelei
Kuna wabunge wa magamba hata kiswahili kinawapiga chenga.
Vuzuri = vizuri
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
Inawezekana kabisa ikawa hivyo lakini huwaoni wakiandika kwenye mitandao kwa lugha wasiyoijuwa vizuri.
Hahaha! Na mie nimefurahi kukusahihisha manake wewe huwa unatupatia sana!..Hiyo kijana ni typing mistake na si kutokujuwa, tazama i na u ziko wapi kwenye keyboard, lakini umesoma ya Mheshimiwa huko juu?
ff kachemka.... amcheki maji marefu kwa shauri zaidiTumeanza lini kupima uwezo wa mbunge kwa kutumia kigezo cha kufahamu vyema kingereza?
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
Uoga huo.