Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

Hebu msahihishe alivyopaswa kuandika. Nahisi ungefaa kuwa PS wake.

Ingekuwa ni yeye mwenyewe ndiyo aliyoweka hayo maandishi humu wala usingeniuliza, mbona huwa natowa darsa humu kila siku.

Hata Zitto nimeshawahi kumsahihisha humu JF na barua yake yenye nembo ya bunge, nimeisahau tu ile nyuzi ningekuwekea hapa. Mbona mambo ya kawaida hayo. Tena nampa Mheshimiwa "offer" ya bure, kama Kiingereza kinamkwaza yeye ani pm tu, mimi ntamuandikia na yeye ndio atapata kujifunza kwani nna uhakika si mjinga, ni lugha tu inampiga chenga.

Tena kumbuka, napenda sana kutowa darsa, kwani huu ujizi alionijaalia Allah kama sikuutowa kwa wasiokuwa nao ntakwenda nao wapi?
 
dr.mkwer.e kutoka bagamoyo kichwa nazi mbona kingeleza chake hakijasaidia kupunguza achilia mbali kuondoa mdororo wa uchumi..acha bange ya chooni mtu mzima wewe.kuwa na mama wa aina yako familia itakua ya kipuuzi kama uongozi wa sharobaro mrisho.

Duhh, kila mtu ana haki na fikra na mawazo yake.
 
Hatuongelei Kizungu hapa, tunaongelea Kiingereza alichotumia Mheshimiwa, kumbuka bungeni zinatumika lugha mbili, Kiingereza na Kiswahili.


Hah! hah! kwani alikuwa bungeni? Ameandika hivyo kwenye facebook page yake ambapo anazungumza na rafiki zake kwa lugha wanayoelewana wao. Angeandika hivyo kwenye report rasmi sawa ila kwenye facebook page yake mhh!!!! give the guy a break.
 
Hah! hah! kwani alikuwa bungeni? Ameandika hivyo kwenye facebook page yake ambapo anazungumza na rafiki zake kwa lugha wanayoelewana wao. Angeandika hivyo kwenye report rasmi sawa ila kwenye facebook page yake mhh!!!! give the guy a break.

Facebook ndio uandike kisichokuwepo sababu kma hizo ulizotowa? Nope. Yule ni Mheshimiwa awe facebook awe bungeni.
 
Pitia pitia nyuzi humu JF utakutana nacho, kuna "feature" moja humu JF inaitwa "search" tafuta, utanikuta.

Unapomkosoa mtu kwa maandishi yake, taja basi makosa yake japo kwa ku-highlight red pale unapoona sarufi & silabi hazijakaa sawa,
Sio kukurupuka tu Bi. Mdada
 
FF nini maana ya ntamuandikia,nna,na kutowa ni lugha gani hiyo mama mwalimu?
 
Unapomkosoa mtu kwa maandishi yake, taja basi makosa yake japo kwa ku-highlight red pale unapoona sarufi & silabi hazijakaa sawa,
Sio kukurupuka tu Bi. Mdada

Vyote havijakaa sawa, maudhui nzima, hususan ukichukulia kuwa yeye ni Mheshimiwa ametumia matamshi yasiyoendana na hadhi, hakuyaandika ipasavyo, kaweka maneno ambayo maana yake ni tofauti na haikubaliani na maudhui, muktadha wala mantik, kwa ufupi Kiingereza alichotumia ni "crap".
 
Unaelewa ila unajifanya haujaelewa usilete ujanjaujanja hujaandika lugha fasaha kutowa=kutoa na weka nina sio nna!got you
 
Najaribu kuvuta hisia kiingereza cha Ngonyani, yule maji marefu kitasikikaje masikioni mwetu, sipati picha.
Hapa tunamuongelea Sugu na si maji marefu. Lete reference inayoonyesha maji marefu kachapia tumcorrect.
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
AcHA Uzumbukuku, wachina hawajui kiingereza na hata ww hujui kiingereza na bado wachina ni taifa ambalo liko Juu kiuchumi duniani!
KIINGEREZA NI lUGHA TU! mbona humcheki mzungu kwa kutojua kiswahili? Acha utumwa wa fikra kwa kuchanganya Lugha na BUSARA!
 
Back
Top Bottom