Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

CCM hata wakiwa na helicopter kumi,swala ni watawaambja nini wananchi?imeita miaka mingapi wakiwa wanatawala na hali yenyewe ndio hii,maisha bora waliotuahidi hadi sasa bado tunayasubiri.Watu wanahitaji mabadiliko ya utawala ili kuweza kuabdili hali iliyopo sasa.
 
misaaada ya mr ombaomba mmejitahidi kuitumia, manake mmezoea kuiba nyie. Hapa itakuwa baada ya cdm kuwabana
Nani amekwambia kampuni ya kifamilia ya Chadema itachukua nchi? Kwa ukomavu gani walionao? Bado hakijatokea chama cha upinzani cha kuweza kuiongoza hii nchi. Najua ni ngumu kumeza lakini ndio ukweli.
 
Unaongelea madawati? umelala doro. Sasa hivi watu tunaongelea maabara kila shule ya sekondari, wewe upo enzi za Mkapa bado.



Rais Kikwete akikata utepe kuzindua maabara ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela​

hawa madada wamevaa magauni marefu hadi chini, itakuwa KIKWETE kakasirika sana.
 

Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.

hahahahaaa.hahahaaaaa.kweli akili unazo.we nchi imefilisika we unachekelea jk kusafiri.nssf,ppf,lapf na psps wanafilisiwa na jk we unachekelea.huyu jk ni janga na dhaifu.kila akialikwa anaenda hata kictchen party hamuachii salma pekee we unakenyua meno.haahaaaaaa
 

Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.

Nakweli katutesa wana inchi kwani kaifrisi nchi yetu kwamisifa ya yakinga Eti,,nae ni prof wa kichina.
 
Nyerere miaka 24, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, jumla miaka 44.

Walipeleka maji safi vijiji vipi na kwa mpango upi?

Hii ya Kikwete ya mwaka huu tu:

Serikali imetenga zaidi ya bilioni 270 kwa ajili ya miradi ya Maji vijijini kwa kipindi cha mwaka 2014/2015 chini ya mpango wa utekelezaji matokeo makubwa sasa ambapo vijiji 1,239 vitanufaika na huduma hiyo.

Source: BILION 236 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI VIJIJINI | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today

Ndio maana tunahitaji mabadiliko hao wote ulio wataja ni ccm, na inadhirisha nijnsi gani chama kimeshindwa kutekeleza wajibu wake,hivyo tushirikiane kutafuta fikra mpya.
 
Unawaonea tu CCM! kama serikali yao imeshindwa kununua madawati na kujenga maabara mashuleni wataweza kuanzisha na kumiliki kampuni ya kutengeneza kondom?
ukiona mtu anawakubali ccm juwa ni tahira msitarabu 😡
 
Ndio maana tunahitaji mabadiliko hao wote ulio wataja ni ccm, na inadhirisha nijnsi gani chama kimeshindwa kutekeleza wajibu wake,hivyo tushirikiane kutafuta fikra mpya.

Kikwete juu zaidi ya wote, tunamchagua Rais kwa jina, hatukichagui chama chake.

Kama unabisha mtazame Shibuda.
 
Ndio maana tunahitaji mabadiliko hao wote ulio wataja ni ccm, na inadhirisha nijnsi gani chama kimeshindwa kutekeleza wajibu wake,hivyo tushirikiane kutafuta fikra mpya.
Khaa wewe una akili kama za kuku. Hiyo CDM kwa miaka 20 imeshindwa hata kujenga ofisi moja. Mabilion ya ruzuku inayopokea kutoka kwenye kodi zetu yameishia kwenye kukopeshana na kujilipa madeni. Usiwe mjinga kusubiri ufanyiwe kila kitu na serikali. Chapa kazi mwanangu unazeeka sasa
 
Khaa wewe una akili kama
za kuku. Hiyo CDM kwa miaka 20 imeshindwa hata kujenga ofisi moja.
Mabilion ya ruzuku inayopokea kutoka kwenye kodi zetu yameishia kwenye
kukopeshana na kujilipa madeni. Usiwe mjinga kusubiri ufanyiwe kila kitu
na serikali. Chapa kazi mwanangu unazeeka sasa

Juzi tu Mkaguzi Mkuu wa Serikali amesema vitabu vyao vya mahesabu vina walakini, hawa ndio uwape BOT?
 
Juzi tu Mkaguzi Mkuu wa Serikali amesema vitabu vyao vya mahesabu vina walakini, hawa ndio uwape BOT?

ImageUploadedByJamiiForums1414251614.909857.jpg

Mpe na hivi vitabu vyako akukague basi
 
Back
Top Bottom