Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 12,208
CCM hata wakiwa na helicopter kumi,swala ni watawaambja nini wananchi?imeita miaka mingapi wakiwa wanatawala na hali yenyewe ndio hii,maisha bora waliotuahidi hadi sasa bado tunayasubiri.Watu wanahitaji mabadiliko ya utawala ili kuweza kuabdili hali iliyopo sasa.