Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

inanikumbusha kiingereza cha jana cha huyo dhaifu huko china, hivi kumbe kiingereza cha JK ni majanga, maana alikuwa anasema tutututututututu, the thethe the fofoma president ofofofof Tanzania, duh hadi ilibidi nizime TV

Source ITV Habari
 
why serikal yetu inahofia kufanya biashara???wenzetu wanaweza ati
Sababu wanakula humo labda, makampuni yanayofanya biashara na serikali ni ya viongozi wa serikali hiyo hiyo labda, au wana kamisheni humo labda, hawawezi kukata tawi walilokalia!!!!!
 
inanikumbusha kiingereza cha jana cha huyo dhaifu huko china, hivi kumbe kiingereza cha JK ni majanga, maana alikuwa anasema tutututututututu, the thethe the fofoma president ofofofof Tanzania, duh hadi ilibidi nizime TV

Source ITV Habari

Unataka kusema nini sasa??!!!
 
inatia kinyaa

attachment.php


Hivi haya matakataka ya CCM si ndio madhara ya ujinga, uamaskini na maradhi!
 
lini serekali yetu nayo itaweza kumiliki kampuni ata ya kutengeneza wembe ccm janga la tanzania
Unawaonea tu CCM! kama serikali yao imeshindwa kununua madawati na kujenga maabara mashuleni wataweza kuanzisha na kumiliki kampuni ya kutengeneza kondom?
 
Gas ya Tanzania bado haijaanza kuuzwa nje ya nchi, kumbuka hilo. Na itapofikia wakati wake wa kuwa na "production" ya kuweza kuuzwa nje, itauzwa tu. Maandalizi yanakwenda vizuri sana.

Nakushangaa unauliza kuhusu helicopter ambazo hata watu binafsi wanazo, tena nyingi tu.

Haya hujayaona na yapo zamani?:


Achana na haya mambo ya Jakaya kucheza na matoi, tuzungumzie issue serious.

CCM wanapewa hizi helcopter kwa consideration ya namna yoyote kati ya hizi.
1. Ni zawadi tu.
2. Serikali inalipia.
 
Achana na haya mambo ya Jakaya kucheza na matoi, tuzungumzie issue serious.

CCM wanapewa hizi helcopter kwa consideration ya namna yoyote kati ya hizi.
1. Ni zawadi tu.
2. Serikali inalipia.

CCM ina uwezo wa kununua helicopter yoyote inayouzwa duniani.
 
Hizo helicopter za China zitatuletea misiba tu ...................!!!!!!
 
CCM ni ukoo wa Panya, baba mwizi,......................................................By Mh Nassari
 

Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.

Anamtesa nani zaidi ya wale ndugu zako wananchi mafukara vijijini wasio na maji safi, huduma thabiti za afya, madawati ya kukalia, miundo mbinu imara ya barabara?

Anamtesa nani?
 
Hizo helicopter za China zitatuletea misiba tu ...................!!!!!!

China waliwauzia Kenya ndege ya kijeshi, Kenya walipopeleka majeshi somalia kuwasaka magaidi, siku ya kwanza wanairusha hiyo ndege ilianguka yenyewe.

Sasa na hivi vita vya urais huko ccm, JK akidondoka nayo patakuwa hapatoshi hapa.

sababu akina lowasa badala ya kuhani msiba wanaweza kukimbilia magogoni kujitangaza.
 
inanikumbusha kiingereza cha jana cha huyo dhaifu huko china, hivi kumbe kiingereza cha JK ni majanga, maana alikuwa anasema tutututututututu, the thethe the fofoma president ofofofof Tanzania, duh hadi ilibidi nizime TV

Source ITV Habari

Kwani JK ni mwingereza?
 
Anamtesa nani zaidi ya wale ndugu zako wananchi mafukara vijijini wasio na maji safi, huduma thabiti za afya, madawati ya kukalia, miundo mbinu imara ya barabara?

Anamtesa nani?

Nyerere miaka 24, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, jumla miaka 44.

Walipeleka maji safi vijiji vipi na kwa mpango upi?

Hii ya Kikwete ya mwaka huu tu:

Serikali imetenga zaidi ya bilioni 270 kwa ajili ya miradi ya Maji vijijini kwa kipindi cha mwaka 2014/2015 chini ya mpango wa utekelezaji matokeo makubwa sasa ambapo vijiji 1,239 vitanufaika na huduma hiyo.

Source: BILION 236 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI VIJIJINI | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
 
Back
Top Bottom