FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Anamtesa nani zaidi ya wale ndugu zako wananchi mafukara vijijini wasio na maji safi, huduma thabiti za afya, madawati ya kukalia, miundo mbinu imara ya barabara?
Anamtesa nani?
Nyerere miaka 24, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, jumla miaka 44.
Walifanya nini kwenye afya?
Haya hapa mambo ya Kikwete kwenye afya.
1)
Magari ya wagonjwa (Ambulance) aina ya Hyundai ambayo yamekabidhiwa kwa Kituo cha Afya Kitomanga na Zahanati ya Milola, Lindi vijijini
Wananchi wakiwa nje ya Zahanati ya Mkange, Singida Vijijini, wakati Katibu Mkuu wa CCM, Kinana alipokagua zahanati hiyo mpya jana.
Nikuongeze?
Nikuongeze?