Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

Ni lazima wawape ccm helcopter maana pona yao ni ccm kuendelea kuwa madarakani.
 
acha kupaniki kumbe ukweli unauma tulia sindano ikuingie mpuuzi wewe

Kwi kwi kwi, ni panic mimi? au mwingine huyo.

Mnani zaidi ya kuwabwaja na kuhororoja?

CCM yafanya hivi:

Rais Kikwete akikata utepe kuonyesha ishara ya ujenzi wa awamu ya tatu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Dr. Charles Tizeba, Balozi wa Uholanzi nchini Jaap Frederiks, Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe, Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka wa viwanja vya ndege nchini Injinia Suleiman Suleiman na Mwenyekiti Kamati ya Uchukuzi ya Bunge Peter Serukamba.
 
Na wewe nenda kahongwe ili uepukane na haya madhila ya kuendeshwa kama msukule na Mzee Slaa.
bora kuwa mlemavu wa kiungo kuliko kuwa mlemavu wa akili kama ww huku ni kuishiwa hoja ccm wameshazoa kuhongwa na wafadhili hamna uwezo wa kununua chopa huo ndo ukweli
 
Kwi kwi kwi, ni panic mimi? au mwingine huyo.

Mnani zaidi ya kuwabwaja na kuhororoja?

CCM yafanya hivi:

Rais Kikwete akikata utepe kuonyesha ishara ya ujenzi wa awamu ya tatu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Dr. Charles Tizeba, Balozi wa Uholanzi nchini Jaap Frederiks, Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe, Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka wa viwanja vya ndege nchini Injinia Suleiman Suleiman na Mwenyekiti Kamati ya Uchukuzi ya Bunge Peter Serukamba.
View attachment 196408
View attachment 196408View attachment 196409
 
Nyerere miaka 24, Mwinyi miaka 10, Mkapa miaka 10, jumla miaka 44.

Walipeleka maji safi vijiji vipi na kwa mpango upi?

Hii ya Kikwete ya mwaka huu tu:

Serikali imetenga zaidi ya bilioni 270 kwa ajili ya miradi ya Maji vijijini kwa kipindi cha mwaka 2014/2015 chini ya mpango wa utekelezaji matokeo makubwa sasa ambapo vijiji 1,239 vitanufaika na huduma hiyo.

Source: BILION 236 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI VIJIJINI | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today

Zimetengwa 270b kwenye maji,escrow wamepiga 200b, achilia mbali BMK, Richmod, Kagoda, Meremeta, EPA et al wamepiga b kibao..

Wewe una akili kama za kina Chifu Mangungo, aliekuwa anabadilishana shanga na dhahabu huku akishangilia...
 
Zimetengwa 270b kwenye maji,escrow wamepiga 200b, achilia mbali BMK, Richmod, Kagoda, Meremeta, EPA et al wamepiga b kibao..

Wewe una akili kama za kina Chifu Mangungo, aliekuwa anabadilishana shanga na dhahabu huku akishangilia...

Wacha porojo wewe.

Escrow unaijuwa au unakurupuka tu? nini maana escrow account?

Richmond? hujuwi kesi iliendaje? mbona Dowans hukuitaja? mlitaka kumdhulumu akawapeleka mahakama za kimataifa mpaka leo mnalipa deni.

Hiyo dhahabu alikuwa akibadilishana babu yako na vioo, akijiona sura, aaaah poa kabisa:

 
Wacha porojo wewe.

Escrow unaijuwa au unakurupuka tu? nini maana escrow account?

Richmond? hujuwi kesi iliendaje? mbona Dowans hukuitaja? mlitaka kumdhulumu akawapeleka mahakama za kimataifa mpaka leo mnalipa deni.

Hiyo dhahabu alikuwa akibadilishana babu yako na vioo, akijiona sura, aaaah poa kabisa:


Hii ni kati ya zile flyover tulizoahidiwa? au hii ni 'Intro' tu, bado 'duction' ?

Anyway, naona unatukana tu...basi nipe maendeleo ya kesi hizo za ufisadi? Nani kafungwa, kufutwa kazi au kalipa? Nani kapandishwa cheo?
 
Nani amekwambia kampuni ya kifamilia ya Chadema itachukua nchi? Kwa ukomavu gani walionao? Bado hakijatokea chama cha upinzani cha kuweza kuiongoza hii nchi. Najua ni ngumu kumeza lakini ndio ukweli.

ccm na mazuzu wote ndo wenye mawazo kama yako, kama sisimizi. Nchi hii inaweza ongozwa hatana na nyani wa porini.
Mtahenya safari hii, hakuna vya mteremko!!!
 
Kwi kwi kwi, ni panic mimi? au mwingine huyo.

Mnani zaidi ya kuwabwaja na kuhororoja?

CCM yafanya hivi:

Rais Kikwete akikata utepe kuonyesha ishara ya ujenzi wa awamu ya tatu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Dr. Charles Tizeba, Balozi wa Uholanzi nchini Jaap Frederiks, Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe, Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka wa viwanja vya ndege nchini Injinia Suleiman Suleiman na Mwenyekiti Kamati ya Uchukuzi ya Bunge Peter Serukamba.

Unajitahidi na hizi cosmetics utafikiri kajenga baba yako, kumbe yale yale ya shanga za viunoni na ina!! Vyuo vikuu vyenu pale vimedumaa tu nyie kazi ni show off.
 
Kweli ccm chama kilichoishiwa mikakati na hii ni dhahiri mauti ii karibu saana kuliko tulivyofikiri hapo kwanza walikuwa wakiponda helikoputa na kutumia magari na semitreler la komba gafla yakaanza kuiga

VERY POOR ccm
 
ccm na mazuzu wote ndo wenye
mawazo kama yako, kama sisimizi. Nchi hii inaweza ongozwa hatana na
nyani wa porini.
Mtahenya safari hii, hakuna vya mteremko!!!

Mbona una hasira sana? Najua inauma lakini ukweli ndio huo, meza vidonge upunguze maumivu!
 

....hakuna mchina hapo? Vichekesho vya pwagu kujifanya fundi wa nyumba ya matofali wakati amezoea ya udongo!!
 
....hakuna mchina hapo? Vichekesho vya pwagu kujifanya fundi wa nyumba ya matofali wakati amezoea ya udongo!!

Mtachonga sana lakini kila niwaambia leteni aliyofanya Rais yoyote kabla ya kwa Tanzania tulinganishe na ya Kikwete, mnagwaya.

 
Back
Top Bottom