Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa


Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.

Kukubalika.... Au mzaha, niambie kitu significant amefanya mhe kipindi chake cha urais nothing ememe juu kila siku, gas juu, mishahara duni, matumizi mabaya, katiba bomu mawaziri hovyo tu, tembo wanazidi kuangamia, foleni jiji halikaliki, mkuu anazidi kupasua anga
 
lema-chopper.jpg
Hivi hii chopa ilishafika Tanzania?
 

Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.

Kwetu wengine ambao maisha yetu yote tumekua tunafanya kazi na hawa watu weupe tunajua ukiona tu wanakufagilia basi jichunguze, ujue kuna bonge la faida wanalipata from you! Sina hakika kama jk akipitia uzi wako kama atafurahi!? Nasema sina hakika.
 
Hakuna cha chopper wala blender ccm na miccm 2015 INSHAALLAH mnakwenda na maji tu ,unajua mfa maji haachi kutapatapa na kuyakamata maji ,yote hiyo ni kuwa mmekumbwa na shetani hofu na mnae huyo ,mwisho mtapata kichaa amini usiamini siku hizi hakuna mwewe ikimaanisha dua la kuku limempata mwewe !
 
lini serekali yetu nayo itaweza kumiliki kampuni ata ya kutengeneza wembe ccm janga la tanzania
Yani embu fikiria tungeomba wachina 20 tu waje hapa kuendeleza kiwanda cha NYUMBU jeshini na kuchukua vijana waliohitimu VETA tufundishwe tu hata kutengeneza power tillers, vibajaji na pikipiki vipuli na mashine kama za kusaga na kukoba nakadhalika, ingekua bora kiasi gani?
 
Mlianzisha mchezo wa helikopta na CCM nao wanakuja nazo 5 muone shughuli yake

Huu ni mwendelezo wa ufisadi tu! Kwa hiyo malipo ya hiyo mikataba ya kimangingo ndizo hizi chopa? Watz wa leo si wale wa miaka ya 80
 
Mlianzisha mchezo wa helikopta na CCM nao wanakuja nazo 5 muone shughuli yake

Mtawashinda Chadema vyote ila sio chopa mamawee kwao ni kama boda boda, mtu anatoka ofisi ya Jimbo la ubungo kwenda kinondoni anapanda chopa, utamweza kweli
 
Yani embu fikiria tungeomba wachina 20 tu waje hapa kuendeleza kiwanda cha NYUMBU jeshini na kuchukua vijana waliohitimu VETA tufundishwe tu hata kutengeneza power tillers, vibajaji na pikipiki vipuli na mashine kama za kusaga na kukoba nakadhalika, ingekua bora kiasi gani?

wewe Tanzania hiyo chini ya ccm, mi nawambia hawa viongozi wote hakuna mtanzania wote wanchuma wakaishi Ulaya
 
Nafikiri shida sio matumizi ya chopa,ila ni jinsi chama kilichoko madarakani kinaweza kudivert mali za umma kuwa za kwake.Hii ni kwasababu ya ubabe na kiburi,kikifikiri hamna anayeweza kukifanya chochote,kiko juu ya sheria.Time will tell.
 
Nafahamu hilo, ndo nauliza hizi za sasa ndo mmebadilishana nao kwa gas??

Gas ya Tanzania bado haijaanza kuuzwa nje ya nchi, kumbuka hilo. Na itapofikia wakati wake wa kuwa na "production" ya kuweza kuuzwa nje, itauzwa tu. Maandalizi yanakwenda vizuri sana.

Nakushangaa unauliza kuhusu helicopter ambazo hata watu binafsi wanazo, tena nyingi tu.

Haya hujayaona na yapo zamani?:

 
Back
Top Bottom