This is a realy meaning of Great Thinker,........
Hivi ndio vichwa vinavyohitajika hapa. Kudos!
Ungekuwa mke wangu nadhani ungenisaidia mengi.
Ndugu wana JF:
Katika taarifa ya habari ya leo usiku kupitia TBC1 nimeona habari ya JK kuzindua kamati maalum ya kitaifa ya Okoa maisha somalia. Sina tatizo na kampeni hiyo, kwa misingi ya utu!
Hata hivyo nina shaka na dhamira yake hasa nikizingatia ukweli kwamba maeneo mbalimbali ya nchi yetu yanakabiliwa na hali mbaya ya ukosefu wa chakula. Mikoa ya Singida, Arusha, Dodoma, Manyara, Mara, Mwanza nk inakabiliwa na njaa hata kusababisha mahindi kuzuiwa kuuzwa nje ya nchi.
Kinachokera zaidi ni pale ambapo serikali haijachukua hatua yeyote kuwafidia wakulima kutokana na hasara walizopata kutokana na ukame, achilia mbali mkakati mahsusi wa kukabiliana na njaa!
Tunaelekea wapi??
hapo kwenye red sijakuelewa mkuuMkuu, Somalia ni janga la kitaifa, vyakula hivyo wala JK, hausiki amewaomba matajiri wachangie.
1. Bakharesa katoa tani 50 za ngano
2. Zakaria katoa tani 50 za mafuta
3. Mengi katoa kontena moja la maji ya kunywa
4. Mohamed katoa tani 50 za chakula
jumla kontena 20 zitapatikana na bado michango inaendelea
kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe leo umeongea pwenticharity begins at home. Huwezi ukamnunulia kimada dera la laki 8 wakati mkeo anashindia kaniki mpaka unaona aibu kutoka nae.
Mkuu unadhani hawa watu hawana akilitimamu? ni makusudi tu wayafanyao mara tu wanapolog in JF basi akili wanazifungia kabatini, i value to differ lakini si kwa Argument za kipuuzi kabisa.kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe leo umeongea pwenti
Jikite zaidi kwenye lagha yako ya Kichagga hii lugha ingine kwako ni janga la kitaifa kama HIV, Shule za kata at work..teh teh teh tehTrush me AshaDii, maisha ndani ya JF yalikuwa ni mazuri sana kabla ya 2010 kama wewe hii sio ID yako ya kwanza utakubaliana nami, lakini ghafla Watu tuliowategemea kutuunganisha kama Taifa wakageuza hapa kama kijiwe cha mihadhala na hili halijafanyika kwa bahati mbaya, wenye nia njema tulilikemea hili lakini haikusaidia kitu, ndipo watu kama mimi nilipochukuwa maamuzi ya kukunuwa hii software ambayo imeonesha ufanisi mkubwa kuliko ile aliyonayo Rev Masanilo.
Kuna jukwaa la dini hapa JF lakini limebakiwa na members wasiozidi 10, kila mtu upupu wake wa mambo ya dini anauleta jikwaa la siasa au la hoja mchanganyiko, hivi ni kwanini haujiulizi mbona jukwaa la MMU, Mambo ya kikubwa, JF doctor na Technoloji yapo powa, sababu kuu kuna watu wameachiwa kuleta upuuzi wao kwenye jukwaa hili, naona solution ni kumkoma nyani Giladi.
<br />Is Mengi serious au ana joke?<br />
<br />
Kwa BILIONEA kama yeye anayoa kontena moja tuu la maji ?
<br />Jikite zaidi kwenye lagha yako ya<font color="#000000"><b> Kichagga </b></font>hii lugha ingine kwako ni janga la kitaifa kama HIV, Shule za kata at work..teh teh teh teh
Jikite zaidi kwenye lagha yako ya Kichagga hii lugha ingine kwako ni janga la kitaifa kama HIV, Shule za kata at work..teh teh teh teh
Nisamehe mkuu, JK, anahusikahapo kwenye red sijakuelewa mkuu
utaombaje kitu halafu useme huhusiki??
ametumwa? kama ndio basi anahusika
amejituma? kama ndio basi anahusika
sijawahi ona mtu anakuita kwake kupokea vitu vya jamaa yake halafu tunasema hahusiki.............. AISEEEEEEEEEEE
Mkuu hii ya Somalia ni janga linalo gusa dunia nzima, sasa hivi unaambiwa kila baada ya nusu saa mtoto anakufa na hawa wafanyabiashara wamefanya la maana sana. Na hii njaa inayosumbua mikoa fulani ya Tanzania ni wajibu wa serikali zaidi. Kwa sasa tuwasaidieni Wasomali hali ni mbaya.
Wanafki hawatauona ufalme wa mbinguni.Jikite zaidi kwenye lagha yako ya Kichagga hii lugha ingine kwako ni janga la kitaifa kama HIV, Shule za kata at work..teh teh teh teh
Thanks mkuu & kudos, sasa naanza kuona mwanga angalau wale walioundiwa jukwaa hili ili pawe home of Great thinkers mnaanza kuonekana kwa kujipambanua. Usijali kwenye msafara wa mamba na kenge hawakosekani.ʞontɹact Sniper;2442106 said:By Matola
Trush me AshaDii, maisha ndani ya JF yalikuwa ni mazuri sana kabla ya 2010 kama wewe hii sio ID yako ya kwanza utakubaliana nami, lakini ghafla Watu tuliowategemea kutuunganisha kama Taifa wakageuza hapa kama kijiwe cha mihadhala na hili halijafanyika kwa bahati mbaya, wenye nia njema tulilikemea hili lakini haikusaidia kitu, ndipo watu kama mimi nilipochukuwa maamuzi ya kukunuwa hii software ambayo imeonesha ufanisi mkubwa kuliko ile aliyonayo Rev Masanilo.
Mkuu kwanini usijikite zaidi katika kujadili hoja? huoni kuwa lile ni suala la typing error tu? Vipi wewe ulivyoandika hapo kwenye nyekundu.
Ukiacha hoja na kujikita katika typing error utakuwa unatulazimisha tuamini kuwa uwezo wako unaishia kwenye kuona herufi tu na si kuziunganisha ili upate maana...
<br />Mwislamu ndugu yake mwislamu mwenzake, kwahiyo anatimiza sunna za mtume.
.....................Software yangu ya Anti Crusaders ameichukuwa AshaDii na ameifungia store, so unable to connect your request.<br />
<br />
unamaana gani, i.e nani anatoa suna kwa nani hebu funguka vizuri,
<br />Mabilionea wa kiislamu kama Yusuf Manji na Rostam Aziz wametoa nini?
<br />Kila swali linastahili jibu lake,..........<br />
Mengi sio mtu wa kubezwa katika kutoa misaada,<br />
Ninayo software ya kuwabaini wote wanaochangia topic humu wakiwa na hidden Agenda.<br />
Kazi yangu ni moto kwa moto na upendo kwa upendo,<br />
Hakuna namna nyingine ya kudeal na watu ambao ni radical.<br />
Kumbuka hii software ninyotumia ni ghali mno, kwahiyo siwezi kuiacha isifanye kazi.<br />
Have a nice day.
.............Software ni ya kwangu na sio ya ghali.<br />
<br />
Nia yako ututangazie unatumia software ya ghali au