By
Matola
Trush me AshaDii, maisha ndani ya JF yalikuwa ni mazuri sana kabla ya 2010 kama wewe hii sio ID yako ya kwanza utakubaliana nami, lakini ghafla Watu tuliowategemea kutuunganisha kama Taifa wakageuza hapa kama kijiwe cha mihadhala na hili halijafanyika kwa bahati mbaya, wenye nia njema tulilikemea hili lakini haikusaidia kitu, ndipo watu kama mimi nilipochukuwa maamuzi ya kukunuwa hii software ambayo imeonesha ufanisi mkubwa kuliko ile aliyonayo Rev Masanilo.
Mkuu kwanini usijikite zaidi katika kujadili hoja? huoni kuwa lile ni suala la typing error tu? Vipi wewe ulivyoandika hapo kwenye nyekundu.
Ukiacha hoja na kujikita katika typing error utakuwa unatulazimisha tuamini kuwa uwezo wako unaishia kwenye kuona herufi tu na si kuziunganisha ili upate maana...