Je, Serikali yetu inatuficha hili?, hali ya huko nyikani(Mbuga na hifadhi za wanyama) ikoje hapa Tanzania?

DON YRN

JF-Expert Member
Jan 14, 2019
474
999
Habari za mchana wasaka tonge na ma-hustlers popote mlipo?. Nina imani mpo salama japo matatizo hatulingani.

Ni hivi; kwa takribani wiki kadhaa sasa hasa hii kanda ya Afrika Mashariki tumekuwa tukizungumzia habari za ukame!, ukame!.

Hali hii imepelekea hasa sisi wakazi wa Pwani na viunga vyake maji kutaka kututoa roho maana yamekuwa kama dhahabu uliyopotea ghafla mchangani toka kwa mmiliki wake(nilikuwa nachomekea tu).

Pointi kubwa hapa ni kwamba; Kumekuwa na habari zikisambaa sana mitandaoni kuhusu ukame wa Kenya kuua tembo na wanyama wengine hata pia wale wa kufugwa na binadamu.
Somalia, nako hali ni vilevile.

Turudi hapa nchini Tanzania;
Hizi habari za ukame zimekuwa zikitangazwa lakini km vile hazipewi kipaumbele sana zaidi ya kusikia wakazi wa Dar es Salam wakihangaikia maji tu kana kwamba kuna kitu kinafichwa kisijulikane na wengi!.

Je!, hali ikoje kwenye hizi mbuga za wanyama wetu?, vp huko Ruaha, Serengeti, Ngorongoro, Selous, Tarangire, mkomazi, kilimanjaro, Chato,n.k?.

Wanyama kule hawafi wapo salama?, maji yapo ya kutosha?, wana majani ya kutosha?, yaani kiufupi wapo salama tukiachana na habari za wajangili?

Tuwekane sawa bila kuja na kivuli cha kulinda heshima ya Ze Royo Tuuaae na ukakasi wa matumizi na matanuzi yake huko marekani yalivyokuwa. Na km wanyama watakuwa wanakufa, hatimiliki ya Ze Royo Tuuaae iuzwe wanyama wachimbiwe mabwawa kuliko kutegemea mabwawa ya asili.

Najua mpo humu, tuwekane sawa.

Nawasilisha.
Somalia.jpg
View attachment 2417462
 
ukame hupi !. maana mvua zipo na vyanzo vya maji vipo sema umetaka kugusia swala maji wakazi wa dar.

shida ya maji ni kutokana na umeme na umeme ndio unaosukuma maji kwenye vyanzo vya kuendesha maji kukufikia
 
Kipindi fulani nilienda mkomazi, hali ni mbaya... Jua linawaka.... Pana ukame... Maji hakuna, wanyama wanakufa, na mamlaka ilikuwa inajaribu kuchimba bwawa kama sio kuondoa tope kwenye lile bwawa lao... Yaani ni tabu
 
ukame hupi !. maana mvua zipo na vyanzo vya maji vipo sema umetaka kugusia swala maji wakazi wa dar.

shida ya maji ni kutokana na umeme na umeme ndio unaosukuma maji kwenye vyanzo vya kuendesha maji kukufikia
Hata sijakuelewa, kwa hiyo umeme unazalisha mvua?
 
Kuhusu chato ondoa shaka. Mvua inanyesha kila siku.....nyie wenye laana ya kusherehekea kifo cha Magufuli huko pwani na darisalama acha ukame uwafundishe adsbu.
 
Tanzania mvua huwa inachelewa mwezi mmoja au miwili hakuna ukame ni vile ni wavivu kuwa na mabwawa makubwa ya kutunza maji kwa muda mrefu mvua ikichelewa mwezi mmoja tuu tunalia kweli wakati zipo Nchi huko kaskazini wao mvua huwa inachukua miaka kadhaa kunyesha...
 
Habari za mchana wasaka tonge na ma-hustlers popote mlipo?. Nina imani mpo salama japo matatizo hatulingani.

Ni hivi; kwa takribani wiki kadhaa sasa hasa hii kanda ya Afrika Mashariki tumekuwa tukizungumzia habari za ukame!, ukame!.

Hali hii imepelekea hasa sisi wakazi wa Pwani na viunga vyake maji kutaka kututoa roho maana yamekuwa kama dhahabu uliyopotea ghafla mchangani toka kwa mmiliki wake(nilikuwa nachomekea tu).

Pointi kubwa hapa ni kwamba; Kumekuwa na habari zikisambaa sana mitandaoni kuhusu ukame wa Kenya kuua tembo na wanyama wengine hata pia wale wa kufugwa na binadamu.
Somalia, nako hali ni vilevile.

Turudi hapa nchini Tanzania;
Hizi habari za ukame zimekuwa zikitangazwa lakini km vile hazipewi kipaumbele sana zaidi ya kusikia wakazi wa Dar es Salam wakihangaikia maji tu kana kwamba kuna kitu kinafichwa kisijulikane na wengi!.

Je!, hali ikoje kwenye hizi mbuga za wanyama wetu?, vp huko Ruaha, Serengeti, Ngorongoro, Selous, Tarangire, mkomazi, kilimanjaro, Chato,n.k?.

Wanyama kule hawafi wapo salama?, maji yapo ya kutosha?, wana majani ya kutosha?, yaani kiufupi wapo salama tukiachana na habari za wajangili?

Tuwekane sawa bila kuja na kivuli cha kulinda heshima ya Ze Royo Tuuaae na ukakasi wa matumizi na matanuzi yake huko marekani yalivyokuwa. Na km wanyama watakuwa wanakufa, hatimiliki ya Ze Royo Tuuaae iuzwe wanyama wachimbiwe mabwawa kuliko kutegemea mabwawa ya asili.

Najua mpo humu, tuwekane sawa.

Nawasilisha.View attachment 2417463View attachment 2417462
Sasa ingekua kuna ukame huko c ungesikia tu
Na kila siku unasikia mvua zinapiga huko mara.mza.geita ukame umetokea wapi bwn mkubwa
 
Kipindi fulani nilienda mkomazi, hali ni mbaya... Jua linawaka.... Pana ukame... Maji hakuna, wanyama wanakufa, na mamlaka ilikuwa inajaribu kuchimba bwawa kama sio kuondoa tope kwenye lile bwawa lao... Yaani ni tabu
kipindi flani, lini hiyo?
 
Habari za mchana wasaka tonge na ma-hustlers popote mlipo?. Nina imani mpo salama japo matatizo hatulingani.

Ni hivi; kwa takribani wiki kadhaa sasa hasa hii kanda ya Afrika Mashariki tumekuwa tukizungumzia habari za ukame!, ukame!.

Hali hii imepelekea hasa sisi wakazi wa Pwani na viunga vyake maji kutaka kututoa roho maana yamekuwa kama dhahabu uliyopotea ghafla mchangani toka kwa mmiliki wake(nilikuwa nachomekea tu).

Pointi kubwa hapa ni kwamba; Kumekuwa na habari zikisambaa sana mitandaoni kuhusu ukame wa Kenya kuua tembo na wanyama wengine hata pia wale wa kufugwa na binadamu.
Somalia, nako hali ni vilevile.

Turudi hapa nchini Tanzania;
Hizi habari za ukame zimekuwa zikitangazwa lakini km vile hazipewi kipaumbele sana zaidi ya kusikia wakazi wa Dar es Salam wakihangaikia maji tu kana kwamba kuna kitu kinafichwa kisijulikane na wengi!.

Je!, hali ikoje kwenye hizi mbuga za wanyama wetu?, vp huko Ruaha, Serengeti, Ngorongoro, Selous, Tarangire, mkomazi, kilimanjaro, Chato,n.k?.

Wanyama kule hawafi wapo salama?, maji yapo ya kutosha?, wana majani ya kutosha?, yaani kiufupi wapo salama tukiachana na habari za wajangili?

Tuwekane sawa bila kuja na kivuli cha kulinda heshima ya Ze Royo Tuuaae na ukakasi wa matumizi na matanuzi yake huko marekani yalivyokuwa. Na km wanyama watakuwa wanakufa, hatimiliki ya Ze Royo Tuuaae iuzwe wanyama wachimbiwe mabwawa kuliko kutegemea mabwawa ya asili.

Najua mpo humu, tuwekane sawa.

Nawasilisha.View attachment 2417463View attachment 2417462
Chukua bodaboda uende hapo seluu kisha utuletee taarifa; kwa hapa Dodoma hali ni shwaliiiiii, ukipita mtaani usiku utakutana na digidigi, swala, mbuni na nguruwe pori wa kumwaga, linabaki ni chaguo lako tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Habari za mchana wasaka tonge na ma-hustlers popote mlipo?. Nina imani mpo salama japo matatizo hatulingani.

Ni hivi; kwa takribani wiki kadhaa sasa hasa hii kanda ya Afrika Mashariki tumekuwa tukizungumzia habari za ukame!, ukame!.

Hali hii imepelekea hasa sisi wakazi wa Pwani na viunga vyake maji kutaka kututoa roho maana yamekuwa kama dhahabu uliyopotea ghafla mchangani toka kwa mmiliki wake(nilikuwa nachomekea tu).

Pointi kubwa hapa ni kwamba; Kumekuwa na habari zikisambaa sana mitandaoni kuhusu ukame wa Kenya kuua tembo na wanyama wengine hata pia wale wa kufugwa na binadamu.
Somalia, nako hali ni vilevile.

Turudi hapa nchini Tanzania;
Hizi habari za ukame zimekuwa zikitangazwa lakini km vile hazipewi kipaumbele sana zaidi ya kusikia wakazi wa Dar es Salam wakihangaikia maji tu kana kwamba kuna kitu kinafichwa kisijulikane na wengi!.

Je!, hali ikoje kwenye hizi mbuga za wanyama wetu?, vp huko Ruaha, Serengeti, Ngorongoro, Selous, Tarangire, mkomazi, kilimanjaro, Chato,n.k?.

Wanyama kule hawafi wapo salama?, maji yapo ya kutosha?, wana majani ya kutosha?, yaani kiufupi wapo salama tukiachana na habari za wajangili?

Tuwekane sawa bila kuja na kivuli cha kulinda heshima ya Ze Royo Tuuaae na ukakasi wa matumizi na matanuzi yake huko marekani yalivyokuwa. Na km wanyama watakuwa wanakufa, hatimiliki ya Ze Royo Tuuaae iuzwe wanyama wachimbiwe mabwawa kuliko kutegemea mabwawa ya asili.

Najua mpo humu, tuwekane sawa.

Nawasilisha.View attachment 2417463View attachment 2417462
Kiufupi hifadhi za huku kaskazini hali siyo mbaya sana, hii ni week ya pili mvua inanyesha Serengeti, Ndutu na maeneo mengine
 
Habari za mchana wasaka tonge na ma-hustlers popote mlipo?. Nina imani mpo salama japo matatizo hatulingani.

Ni hivi; kwa takribani wiki kadhaa sasa hasa hii kanda ya Afrika Mashariki tumekuwa tukizungumzia habari za ukame!, ukame!.

Hali hii imepelekea hasa sisi wakazi wa Pwani na viunga vyake maji kutaka kututoa roho maana yamekuwa kama dhahabu uliyopotea ghafla mchangani toka kwa mmiliki wake(nilikuwa nachomekea tu).

Pointi kubwa hapa ni kwamba; Kumekuwa na habari zikisambaa sana mitandaoni kuhusu ukame wa Kenya kuua tembo na wanyama wengine hata pia wale wa kufugwa na binadamu.
Somalia, nako hali ni vilevile.

Turudi hapa nchini Tanzania;
Hizi habari za ukame zimekuwa zikitangazwa lakini km vile hazipewi kipaumbele sana zaidi ya kusikia wakazi wa Dar es Salam wakihangaikia maji tu kana kwamba kuna kitu kinafichwa kisijulikane na wengi!.

Je!, hali ikoje kwenye hizi mbuga za wanyama wetu?, vp huko Ruaha, Serengeti, Ngorongoro, Selous, Tarangire, mkomazi, kilimanjaro, Chato,n.k?.

Wanyama kule hawafi wapo salama?, maji yapo ya kutosha?, wana majani ya kutosha?, yaani kiufupi wapo salama tukiachana na habari za wajangili?

Tuwekane sawa bila kuja na kivuli cha kulinda heshima ya Ze Royo Tuuaae na ukakasi wa matumizi na matanuzi yake huko marekani yalivyokuwa. Na km wanyama watakuwa wanakufa, hatimiliki ya Ze Royo Tuuaae iuzwe wanyama wachimbiwe mabwawa kuliko kutegemea mabwawa ya asili.

Najua mpo humu, tuwekane sawa.

Nawasilisha.View attachment 2417463View attachment 2417462
Subiri wasio na uchungu na nchi hii waje kutujibu hapa
 
Back
Top Bottom