Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,050
Kampeni Meneja wa Lowassa alikua Fredrick Tulway Sumaye, former PMNi kutokana na na ripoti ya SFO iliyowatia matatani Kitillya, Shose Sinare na Sioi
![]()
Kampeni Meneja wa Lowassa alikua Fredrick Tulway Sumaye, former PMNi kutokana na na ripoti ya SFO iliyowatia matatani Kitillya, Shose Sinare na Sioi
![]()
Hata Dr Dau alikuwa tartiiiiiiiiiibu lakini fisadiSiyo Lowassa? Unafikiri dudu lilililomg'oa uwaziri mkuu ni moja tu? Ni mlolongo.
Kikwete alikuwa hapapariki katika maamuzi yake. Tartiibu lakini efficient.
Mchumi Tumbo tu yule...Hivi yule jamaa pale jangwan aliyekuwa anaunganisha clip za mwalim zile za WATANZANIA WANATAKA MABADILIKO WASIPO YAPATA NDANI YA CCM WATAYATAFUTA NJE ...Ya CCM
anaitwa sijui john Mrema yeye ni nani maana alikuwa abanduki kwa mzee edo
lakini jamaaa kapiga sana hela kwa mzee edo pamoja na MBATIAMchumi Tumbo tu yule...
Daa hali si shwari CDM sasa wamekua watetea ufisadi,kwakweli tusubiri ila huyu lowasa atawa cost z just the matter of tymMBONA CHENGE HUMTAJI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
You must be sick !!Siyo Lowassa? Unafikiri dudu lilililomg'oa uwaziri mkuu ni moja tu? Ni mlolongo.
Kikwete alikuwa hapapariki katika maamuzi yake. Tartiibu lakini efficient.
kumi na moja kumi na mbili tusubiri usiwe na papara utaharibu ww!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Vipi hutamani siku ya MKWERE kupelekwa huko?
Simply nina maana wanaomuunga mkono awe kiongozi wa juu Nchini.kupata kura zile alizopata sio mchezo...inaonesha dhahir kwamba anakubalika na anao uwezo wa kuongoza.1st jiulize ni kwa nini ansisitiza kama unao ushahidi nenda mahakamani na kama huna Shut Up.
MBONA HUMTAJI NA YULE JAMAA WA KUPIGA MADILI; KILA SAKATA LAZIMA UMKUTE:-
(!) MEREMETA
(2) EPA
(3) RADAR
(4) ESCROW
(5) N.K NK.
Mimi kama mtanzania sijaona faida ya kuwepo TAKUKURU kwani tangu taasisi hii ianzishwe kazi yake kubwa ni kuwashughulikia watu ambao wametofautiana na serikali lakini ikiwa wewe ni kipenzi cha serikali basi hata ule rushwa kiasi gani TAKUKURU wanakaa kimya.Tumeona ununuzi wa rada,makaa ya mawe kiwira,mikataba ya reli,bandari,ukwepaji kodi,mitambo ya kufua umeme tanesco nk. takukuru wapo kimya.Kama ni taasisi ya kuzui wanakuwa wapi mpaka watu waibe ndio wachukue hatua.Mtu anatia hasara serikali alafu anaenda okota makaratasi hospitali wakati wapo watu wameiba kuku wanasota magerezani.Ni kutokana na na ripoti ya SFO iliyowatia matatani Kitillya, Shose Sinare na Sioi
![]()
Jiandae kuona na kujua kazi zao sasa, acha kuleta historia hapa wakati hata wewe part yako hukuifanya kwa ufanisiMimi kama mtanzania sijaona faida ya kuwepo TAKUKURU kwani tangu taasisi hii ianzishwe kazi yake kubwa ni kuwashughulikia watu ambao wametofautiana na serikali lakini ikiwa wewe ni kipenzi cha serikali basi hata ule rushwa kiasi gani TAKUKURU wanakaa kimya.Tumeona ununuzi wa rada,makaa ya mawe kiwira,mikataba ya reli,bandari,ukwepaji kodi,mitambo ya kufua umeme tanesco nk. takukuru wapo kimya.Kama ni taasisi ya kuzui wanakuwa wapi mpaka watu waibe ndio wachukue hatua.Mtu anatia hasara serikali alafu anaenda okota makaratasi hospitali wakati wapo watu wameiba kuku wanasota magerezani.
Siyo Lowassa? Unafikiri dudu lilililomg'oa uwaziri mkuu ni moja tu? Ni mlolongo.
Kikwete alikuwa hapapariki katika maamuzi yake. Tartiibu lakini efficient.
Lowassa aling'olewa Uwaziri Mkuu lini? Biashara ya hati fungani kati ya serikali, Stanbic na washirika wake huko Ulaya ilifanyika lini? Waziri Mkuu alikuwa nani? Rais alikuwa nani?
Daa hali si shwari CDM sasa wamekua watetea ufisadi,kwakweli tusubiri ila huyu lowasa atawa cost z just the matter of tym
Hakuna haja ya kumtetea MTU kwa kile unachoamini, itikadi wala Dini.
Fisadi ni mwizi kama mwizi mwingine, sinduguyo,usikubali kutumika nae.
Wote mnaowataja ni majambazi hakuna sababu ya kumtetea Mamvi wala Chenge
Ni great kwa nafisadi wenzake na makanjanja tu...kwangu mimi ni FISADI ALIYEKUBUHU! ....Mangula alifanya kitu sahihi na kwa muda muafaka...Mbowe akafanya biashara.Ccm wangapi wako pro lowassa
Intellectuals wangapi wako pro lowassa
Businessmen wangapi wako pro lowassa....tafakari the man is great.tusidanganyane tuambiane ukweli