Kampeni Meneja wa Lowassa Ndani ya TAKUKURU

Kampeni Meneja wa Lowassa Ndani ya TAKUKURU

Mimi yote tisa kumi nasubiri siku papa la ufisadi lenyewe Lowasa likishikwa na kupelekwa Kisutu halafu kupewa ndoo kupelekwa Mahabusu bila ya dhamana hiyo siku ikifika najua sasa haki itakuwa imetendeka TanZania, na kufunga ukurasa wa ufisadi rasmi na kuanza kujenga TZ yetu mpya ya bila mafisadi!!
Naiombea sana hii siku
 
Siyo Lowassa? Unafikiri dudu lilililomg'oa uwaziri mkuu ni moja tu? Ni mlolongo.

Kikwete alikuwa hapapariki katika maamuzi yake. Tartiibu lakini efficient.
Hakika jipu litafikiwa tu
 
Siyo Lowassa? Unafikiri dudu lilililomg'oa uwaziri mkuu ni moja tu? Ni mlolongo.

Kikwete alikuwa hapapariki katika maamuzi yake. Tartiibu lakini efficient.
Mhh
Wazee wa NDIYOOOO mna mambo sana

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom