Bega kwa Bega
Member
- Mar 16, 2016
- 62
- 30
Hebu ona jamani halafu unakuta wachungaji na maaskofu walikuwa wakibubujika hadi machozi eti wanamlilia Mungu amwezeshe kibaka aingie ikulu!!!! LO!
Longa Mpenda nchi.... " ndugu yangu tuna wachungaji au Maaskofu nchi hii wote ni wanganga njaa tu...
Haya yote walikuwa wanayafahamu ili mradi washibishe matumbo Yao na vizazi vyao wakayapindisha Maandiko na kumwita EL mtukufu Nabii na ndiye atakayekomboa wanyonge! Pamoja na viongozi wa UKAWA nao wakaliaminisha Taifa kwa ulaghai wa hali ya juu sana kuwa huyu mtu ni Msafii na tena ndiye atakayelivusha Taifa hili kuelekea Nchi ya Asali na Maziwa.... Eeee Mungu wee hebu endelea kuufunua ukweli wa Mambo haya.....