Kampeni Meneja wa Lowassa Ndani ya TAKUKURU

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Ni kutokana na na ripoti ya SFO iliyowatia matatani Kitillya, Shose Sinare na Sioi
1.jpg
 
TAKUKURU wako very technical wanaanza taratibu kuwadaka walioko bondeni kabla ya yule mkuu wao aliyeko mlimani. Si muda mrefu watamfikia wanamlia timing tu na yeye anajua siku zake za kudakwa zinahesabika.Nasikia halali kwa hofu.Presha zinampanda mara kwa mara.
 
Takukuru inatakiwa wachinguzwe haiwezekani Gazeti moja lilipinga sana kwa serikali kukopa Stanbic bank wao walikaa kimya kama hamna kitu tushaibiwa ndio wanakuja kuchunguza kwa hiyo Takukuru hawawezi kuzuia..hao wanawakamata mahakimu na kesi za 10,000 huku mabilioni yakiteketea hao ndio wa kychunguzwa kwanza..
 
Ni kutokana na na ripoti ya SFO iliyowatia matatani Kitillya, Shose Sinare na Sioi
1.jpg



Mimi yote tisa kumi nasubiri siku papa la ufisadi lenyewe Lowasa likishikwa na kupelekwa Kisutu halafu kupewa ndoo kupelekwa Mahabusu bila ya dhamana hiyo siku ikifika najua sasa haki itakuwa imetendeka TanZania, na kufunga ukurasa wa ufisadi rasmi na kuanza kujenga TZ yetu mpya ya bila mafisadi!!
 
Takukuru inatakiwa wachinguzwe haiwezekani Gazeti moja lilipinga sana kwa serikali kukopa Stanbic bank wao walikaa kimya kama hamna kitu tushaibiwa ndio wanakuja kuchunguza kwa hiyo Takukuru hawawezi kuzuia.

Mkuu hii ni TAKUKURU mpya ile ya zamani bosi wake alishatumbuliwa na Magufuli mara aliposhika uraisi.Ipe muda hii mpya
 
Ok Yehodaya ngoja niipe muda mkuu Magufuri nina imani nae sana tuu naona ana dhamira ya kweli kwa Watanzania...ukiangalia miradi yoote iyo tunayoisikia kuna ufisadi wa kutisha hawa jamaa si wangepiga hodi mapema ili kudhibiti..
 
Ok Yehodaya ngoja niipe muda mkuu Magufuri nina imani nae sana tuu naona ana dhamira ya kweli kwa Watanzania...ukiangalia miradi yoote iyo tunayoisikia kuna ufisadi wa kutisha hawa jamaa si wangepiga hodi mapema ili kudhibiti..
Magufuli lazima ainyooshe nchi.
 
Anayesubiri Lowassa Mahakamaani hajui seikali Magufuli anachopambana nacho !!
Watuhumiwa wa EPA ESCRO wako wazi kuliko lakini hana jeuri kwa sababu kila
Mbunge wa Ccm akiwemo.yeye Maguf aligawaiwa kwa ajili ya kampeni

sembuse Richmond amabayo hata Lowassa hajahusika wala hakutajwa na bunge !!

Mtasuburi sana !
 
Mimi yote tisa kumi nasubiri siku papa la ufisadi lenyewe Lowasa likishikwa na kupelekwa Kisutu halafu kupewa ndoo kupelekwa Mahabusu bila ya dhamana hiyo siku ikifika najua sasa haki itakuwa imetendeka TanZania, na kufunga ukurasa wa ufisadi rasmi na kuanza kujenga TZ yetu mpya ya bila mafisadi!!
uko tayari hata kusema uongo kwa MUNGU kuwa mkapa na kikwete siyo mafisadi.kwa taharifa yako hata MBINGU zinajua kuwa Mkapa na Kikwete ni MAFISADI
 
Nasema hiviiii.....Nataka wote Ma CCM yapelekwe mahakamani...Wizi wa nchi hii umelindwa na umefanywa na wana CCM.....Be it Lowasa or be it Kikwete...hawa wote waliyafanya wakiwa wanachama wa CCM

Mustafa...waziri wa fedha kipindi cha jeikeey

Bashir MD wa Stanbic Bank...Mkenya aliyefacilitate Esxcro malipo yaliyoenda hadi iklu ya jkk
 
Back
Top Bottom