Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 571
Nawashangaa hata swala la bashiri Awalle linakuzwa na Maccm!!!
yeye alikuwa ndio Manager waliokopa ni serikali na unategemea aliyeibiwa ashitakiwe !!
Labda kama una uhakika alishirikiana na hao wakopaji !
Hapa mbwembwe tuu !!
yeye alikuwa ndio Manager waliokopa ni serikali na unategemea aliyeibiwa ashitakiwe !!
Labda kama una uhakika alishirikiana na hao wakopaji !
Hapa mbwembwe tuu !!