Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 766
- 1,292
Actually,Wewe utamchagua magufuly
Mimi nitamchagua TUNDU LISSU
kila mmoja ashinde mechi zake
Magufuri=90% ya kura za wananchi wakitanzania.
Zilizobaki tuwaachia nyie na marais wengine wote.
Ila chonde chonde mkiona Mmeshindwa msiingia barabarani kama mlivyosema.
Ushindi wa Mwaka huu ni Wa haki kabisa bila wizi| hujuma yoyote.