Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Nani nyani naniUungane na Nani?
Nani nyani naniUungane na Nani?
MITANO TENA LISSU TUNDU...POSHO ZA ELFU SABA NA WALI NDIO ZINAWASUMBUA
Na ubunge hutopata ng'ooooMasikini wengi wa akili hupenda kujiambatanisha na wasio wajua , mimi tajiri na mgombea ubunge wa 2020 nisiwajue viongozi wa Chadema ili iwe nini ? nakusoma unavyoandika humu hadi nacheka , lengo nifunguke ili unijue !
Mbinu ya kishamba sana !
yule yule mliyetaka kumuua ndio anakuja kua Rais wa Tanzania ...Mungu humuinua yule wa kwake na sio WAUAJI kama nyieNo.I am Lunatic (sometimes No,sometime Yes).
Vipi kuhusu wewe,una akili Timamu??
Jikite kwenye mada iliyopo mezani , ukiendelea kunifuata fuata nitaku ignore nisikuone milele humu JF .Ok nimekuelewa ila kinachonishangaza hujuagi kinachoendelea chamani! Umejua chama kimeamua nini kuhusu adhabu ya lissu?
Hili linawauma mno ! Naambiwa Ndugai kisukari kimepanda kuliko wakati wowote !yule yule mliyetaka kumuua ndio anakuja kua Rais wa Tanzania ...Mungu humuinua yule wa kwake na sio WAUAJI kama nyie
Mungu humuinua Mwenye haki na anaemtumania yeye kama Mwokozi na mponyaji wake.yule yule mliyetaka kumuua ndio anakuja kua Rais wa Tanzania ...Mungu humuinua yule wa kwake na sio WAUAJI kama nyie
Jikite kwenye mada iliyopo mezani , ukiendelea kunifuata fuata nitaku ignore nisikuone milele humu JF .
utapata shida sana maana yule unayemfuatilia kuliko familia yako na maisha yako kishakupuuza kuliko maelezoHuwa sipendagi kutuka ila Wewe ni mjinga sana, ukini-ignore unanipunguzia nini? Fwala we
Kuna walio jitangaza hadharani kwamba ni kichaa.Ndiyo hivyo wamemuweka kichaa kweli
Mwaka huu sasa fanya hivyo maana mliye nae ni kichaa yule. Chizi fresh kabisa. Hajielewi wala hawaelewi wapiga kura wake.Chadema hata wakiweka kichaa mimi nitachagua kuliko haya manyanyaso
View attachment 1589163
Ikiwa kama umechoshwa na unyama unaotendwa dhidi ya binadamu nchini Tanzania ( RIP Lwajabe , pole Lissu ) , na ikiwa kama unakerwa na dhuluma dhidi ya wakulima , ikiwa unakerwa na rushwa na ikiwa kweli wewe ni mcha Mungu basi wakati wako wa kutenda kwa kadri ya maandiko Matakatifu umefika , pinga umasikini kwa kuikataa ccm na kuichagua Chadema , jiwekee akiba mbinguni kwa kuwakataa watekaji na wabambika kesi , kataa uonevu dhidi ya wananchi wa Tanzania .
Mungu anakuona unavyoteseka na amekuona ulivyo na Subira , sasa amekuletea Chadema na washirika wake ili ukombolewe dhidi ya Maisha ya kishetani ambayo ccm imejiapiza kuwapa wananchi , muda ni huu acha kulia lia , kura ni siri yako , ipige vizuri ili kumtukuza Mungu kwa " Ufufuo " wa Tundu Lissu ubarikiwe .
Nchi hii imebakisha wiki chache sana ili kuondokana na utumwa , dhiki , uonevu , ukosefu wa ajira , mishahara duni , ufisadi , utekaji , makanisa na misikiti kutumika , hofu , mateso , dharau , matusi , wizi , ada ya kuzaa , elimu duni pamoja na mambo yote mabaya yaliyofichwa , mwenye maamuzi ni wewe , ikatae ccm ili tujue waliko waliopotea , ikatae ccm ili tuwajue watekaji , ikatae ccm ili chini ya mwezi mmoja tuyajue majina ya waliomshambulia Lissu na waliowatuma .
CHAGUA CHADEMA KWA UHURU , HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Nje ya mada
Chama cha Mbowe hakinunuliki hata ukikipaka iliki. Mbowe anahofu ya Mungu?. Chama saccos kimejaa ufisadi tupu pale unataka kusema nini?.Watanzania wana jambo lao Oct 28. Mwisho ya kula ruzuku za watanzania umewadia, Mungu ashukuriwe kwa kutupa JPM.View attachment 1589163
Ikiwa kama umechoshwa na unyama unaotendwa dhidi ya binadamu nchini Tanzania ( RIP Lwajabe , pole Lissu ) , na ikiwa kama unakerwa na dhuluma dhidi ya wakulima , ikiwa unakerwa na rushwa na ikiwa kweli wewe ni mcha Mungu basi wakati wako wa kutenda kwa kadri ya maandiko Matakatifu umefika , pinga umasikini kwa kuikataa ccm na kuichagua Chadema , jiwekee akiba mbinguni kwa kuwakataa watekaji na wabambika kesi , kataa uonevu dhidi ya wananchi wa Tanzania .
Mungu anakuona unavyoteseka na amekuona ulivyo na Subira , sasa amekuletea Chadema na washirika wake ili ukombolewe dhidi ya Maisha ya kishetani ambayo ccm imejiapiza kuwapa wananchi , muda ni huu acha kulia lia , kura ni siri yako , ipige vizuri ili kumtukuza Mungu kwa " Ufufuo " wa Tundu Lissu ubarikiwe .
Nchi hii imebakisha wiki chache sana ili kuondokana na utumwa , dhiki , uonevu , ukosefu wa ajira , mishahara duni , ufisadi , utekaji , makanisa na misikiti kutumika , hofu , mateso , dharau , matusi , wizi , ada ya kuzaa , elimu duni pamoja na mambo yote mabaya yaliyofichwa , mwenye maamuzi ni wewe , ikatae ccm ili tujue waliko waliopotea , ikatae ccm ili tuwajue watekaji , ikatae ccm ili chini ya mwezi mmoja tuyajue majina ya waliomshambulia Lissu na waliowatuma .
CHAGUA CHADEMA KWA UHURU , HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Hebu tupe list ya makamo wa rais, waziri mkuu na mawaziri kama chdema inashindaView attachment 1589163
Ikiwa kama umechoshwa na unyama unaotendwa dhidi ya binadamu nchini Tanzania ( RIP Lwajabe , pole Lissu ) , na ikiwa kama unakerwa na dhuluma dhidi ya wakulima , ikiwa unakerwa na rushwa na ikiwa kweli wewe ni mcha Mungu basi wakati wako wa kutenda kwa kadri ya maandiko Matakatifu umefika , pinga umasikini kwa kuikataa ccm na kuichagua Chadema , jiwekee akiba mbinguni kwa kuwakataa watekaji na wabambika kesi , kataa uonevu dhidi ya wananchi wa Tanzania .
Mungu anakuona unavyoteseka na amekuona ulivyo na Subira , sasa amekuletea Chadema na washirika wake ili ukombolewe dhidi ya Maisha ya kishetani ambayo ccm imejiapiza kuwapa wananchi , muda ni huu acha kulia lia , kura ni siri yako , ipige vizuri ili kumtukuza Mungu kwa " Ufufuo " wa Tundu Lissu ubarikiwe .
Nchi hii imebakisha wiki chache sana ili kuondokana na utumwa , dhiki , uonevu , ukosefu wa ajira , mishahara duni , ufisadi , utekaji , makanisa na misikiti kutumika , hofu , mateso , dharau , matusi , wizi , ada ya kuzaa , elimu duni pamoja na mambo yote mabaya yaliyofichwa , mwenye maamuzi ni wewe , ikatae ccm ili tujue waliko waliopotea , ikatae ccm ili tuwajue watekaji , ikatae ccm ili chini ya mwezi mmoja tuyajue majina ya waliomshambulia Lissu na waliowatuma .
CHAGUA CHADEMA KWA UHURU , HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Kombora. Mungu atawalipa kwa ufisadi mnaowafanyia watanzania.Nje ya mada
Chama cha kipuuzi Sana hiki. Mama Tanzania 🇹🇿, hutaangukia mikononi mwa hawa mabazazi. Watanzania wapo makini kuona pumba na mchele vizuri ili wachague hiyo Oct 28.View attachment 1589537
View attachment 1589538
View attachment 1589541
Ili mkamuliwe vizuri zaidi kama ng'ombe.
Hiyo kofia Kama raisi wa manzese!
Muulize Nape atakueleza ya ccm , siyo wewe kapuku mtozeni unayelipwa elfu 7 kwa wiki .Chama cha kipuuzi Sana hiki. Mama Tanzania 🇹🇿, hutaangukia mikononi mwa hawa mabazazi. Watanzania wapo makini kuona pumba na mchele vizuri ili wachague hiyo Oct 28.