Uchaguzi 2020 Kampeni: Kama una hofu ya Mungu na kama umechoshwa na dhuluma tarehe 28 Oktoba chagua wagombea wa CHADEMA na washirika wao

Masikini wengi wa akili hupenda kujiambatanisha na wasio wajua , mimi tajiri na mgombea ubunge wa 2020 nisiwajue viongozi wa Chadema ili iwe nini ? nakusoma unavyoandika humu hadi nacheka , lengo nifunguke ili unijue !

Mbinu ya kishamba sana !
Na ubunge hutopata ng'oooo
 
Ok nimekuelewa ila kinachonishangaza hujuagi kinachoendelea chamani! Umejua chama kimeamua nini kuhusu adhabu ya lissu?
Jikite kwenye mada iliyopo mezani , ukiendelea kunifuata fuata nitaku ignore nisikuone milele humu JF .
 
yule yule mliyetaka kumuua ndio anakuja kua Rais wa Tanzania ...Mungu humuinua yule wa kwake na sio WAUAJI kama nyie
Hili linawauma mno ! Naambiwa Ndugai kisukari kimepanda kuliko wakati wowote !
 
yule yule mliyetaka kumuua ndio anakuja kua Rais wa Tanzania ...Mungu humuinua yule wa kwake na sio WAUAJI kama nyie
Mungu humuinua Mwenye haki na anaemtumania yeye kama Mwokozi na mponyaji wake.

Hili limeonekana Miezi Minne iliyopita ndani J.P.Magufuli
 
View attachment 1589163

Ikiwa kama umechoshwa na unyama unaotendwa dhidi ya binadamu nchini Tanzania ( RIP Lwajabe , pole Lissu ) , na ikiwa kama unakerwa na dhuluma dhidi ya wakulima , ikiwa unakerwa na rushwa na ikiwa kweli wewe ni mcha Mungu basi wakati wako wa kutenda kwa kadri ya maandiko Matakatifu umefika , pinga umasikini kwa kuikataa ccm na kuichagua Chadema , jiwekee akiba mbinguni kwa kuwakataa watekaji na wabambika kesi , kataa uonevu dhidi ya wananchi wa Tanzania .

Mungu anakuona unavyoteseka na amekuona ulivyo na Subira , sasa amekuletea Chadema na washirika wake ili ukombolewe dhidi ya Maisha ya kishetani ambayo ccm imejiapiza kuwapa wananchi , muda ni huu acha kulia lia , kura ni siri yako , ipige vizuri ili kumtukuza Mungu kwa " Ufufuo " wa Tundu Lissu ubarikiwe .

Nchi hii imebakisha wiki chache sana ili kuondokana na utumwa , dhiki , uonevu , ukosefu wa ajira , mishahara duni , ufisadi , utekaji , makanisa na misikiti kutumika , hofu , mateso , dharau , matusi , wizi , ada ya kuzaa , elimu duni pamoja na mambo yote mabaya yaliyofichwa , mwenye maamuzi ni wewe , ikatae ccm ili tujue waliko waliopotea , ikatae ccm ili tuwajue watekaji , ikatae ccm ili chini ya mwezi mmoja tuyajue majina ya waliomshambulia Lissu na waliowatuma .

CHAGUA CHADEMA KWA UHURU , HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
1601758297151.png


1601758324197.png


1601758470210.png


Ili mkamuliwe vizuri zaidi kama ng'ombe.
 
View attachment 1589163

Ikiwa kama umechoshwa na unyama unaotendwa dhidi ya binadamu nchini Tanzania ( RIP Lwajabe , pole Lissu ) , na ikiwa kama unakerwa na dhuluma dhidi ya wakulima , ikiwa unakerwa na rushwa na ikiwa kweli wewe ni mcha Mungu basi wakati wako wa kutenda kwa kadri ya maandiko Matakatifu umefika , pinga umasikini kwa kuikataa ccm na kuichagua Chadema , jiwekee akiba mbinguni kwa kuwakataa watekaji na wabambika kesi , kataa uonevu dhidi ya wananchi wa Tanzania .

Mungu anakuona unavyoteseka na amekuona ulivyo na Subira , sasa amekuletea Chadema na washirika wake ili ukombolewe dhidi ya Maisha ya kishetani ambayo ccm imejiapiza kuwapa wananchi , muda ni huu acha kulia lia , kura ni siri yako , ipige vizuri ili kumtukuza Mungu kwa " Ufufuo " wa Tundu Lissu ubarikiwe .

Nchi hii imebakisha wiki chache sana ili kuondokana na utumwa , dhiki , uonevu , ukosefu wa ajira , mishahara duni , ufisadi , utekaji , makanisa na misikiti kutumika , hofu , mateso , dharau , matusi , wizi , ada ya kuzaa , elimu duni pamoja na mambo yote mabaya yaliyofichwa , mwenye maamuzi ni wewe , ikatae ccm ili tujue waliko waliopotea , ikatae ccm ili tuwajue watekaji , ikatae ccm ili chini ya mwezi mmoja tuyajue majina ya waliomshambulia Lissu na waliowatuma .

CHAGUA CHADEMA KWA UHURU , HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Chama cha Mbowe hakinunuliki hata ukikipaka iliki. Mbowe anahofu ya Mungu?. Chama saccos kimejaa ufisadi tupu pale unataka kusema nini?.Watanzania wana jambo lao Oct 28. Mwisho ya kula ruzuku za watanzania umewadia, Mungu ashukuriwe kwa kutupa JPM.
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
View attachment 1589163

Ikiwa kama umechoshwa na unyama unaotendwa dhidi ya binadamu nchini Tanzania ( RIP Lwajabe , pole Lissu ) , na ikiwa kama unakerwa na dhuluma dhidi ya wakulima , ikiwa unakerwa na rushwa na ikiwa kweli wewe ni mcha Mungu basi wakati wako wa kutenda kwa kadri ya maandiko Matakatifu umefika , pinga umasikini kwa kuikataa ccm na kuichagua Chadema , jiwekee akiba mbinguni kwa kuwakataa watekaji na wabambika kesi , kataa uonevu dhidi ya wananchi wa Tanzania .

Mungu anakuona unavyoteseka na amekuona ulivyo na Subira , sasa amekuletea Chadema na washirika wake ili ukombolewe dhidi ya Maisha ya kishetani ambayo ccm imejiapiza kuwapa wananchi , muda ni huu acha kulia lia , kura ni siri yako , ipige vizuri ili kumtukuza Mungu kwa " Ufufuo " wa Tundu Lissu ubarikiwe .

Nchi hii imebakisha wiki chache sana ili kuondokana na utumwa , dhiki , uonevu , ukosefu wa ajira , mishahara duni , ufisadi , utekaji , makanisa na misikiti kutumika , hofu , mateso , dharau , matusi , wizi , ada ya kuzaa , elimu duni pamoja na mambo yote mabaya yaliyofichwa , mwenye maamuzi ni wewe , ikatae ccm ili tujue waliko waliopotea , ikatae ccm ili tuwajue watekaji , ikatae ccm ili chini ya mwezi mmoja tuyajue majina ya waliomshambulia Lissu na waliowatuma .

CHAGUA CHADEMA KWA UHURU , HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Hebu tupe list ya makamo wa rais, waziri mkuu na mawaziri kama chdema inashinda
 
Chama cha kipuuzi Sana hiki. Mama Tanzania 🇹🇿, hutaangukia mikononi mwa hawa mabazazi. Watanzania wapo makini kuona pumba na mchele vizuri ili wachague hiyo Oct 28.
Muulize Nape atakueleza ya ccm , siyo wewe kapuku mtozeni unayelipwa elfu 7 kwa wiki .
 
Back
Top Bottom