Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,760
- 5,263
hakuna muuaji mwenye haki dogo...na zaidi Mungu huyo huyo unayemsemea ndio alimuokoa kutoka kwenye tundu la kifo mlilotaka kumuingiza huko, lakini Mungu akasema hapana, huyu naenda kumuinua nchini Tanzania awe Rais wa TanzaniaMungu humuinua Mwenye haki na anaemtumania yeye kama Mwokozi na mponyaji wake.
Hili limeonekana Miezi Minne iliyopita ndani J.P.Magufuli
yule yule mliyetaka kumuua kule dodoma na damu ikagusa ardhi hii ya tanzania, ndio anaenda kua rais wa nchi..bisha upasuke kichwa..