Tulitegemea kuwa kampeni za Igunga zingetawaliwa na sera za vyama husika ili wananchi maskini wa nchii waweze kutambua ni mgombea yupi anafaa ili aweze kuwahudumia wanachi wa Igunga, badala yake tumeshuhudia vituko vya kila aina ambavyo ni aibu kwa demokrasia yetu changa.