Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Wakumbuke hao wanaowania Ubunge,kwamba Jaji Lewis Makame ni refa,ni umpire. Kazi yake siyo tu kuhesabu kura,isipokuwa kufahamu pia hizo kura zimepatikana vipi.
Lakini wale watu wamesisimka sana. Jana Julius Mtatiro alikuwa anasema anataka kampeni ziwe shwari;anasema hivyo huku amevaa cowboy hat,stetson hat kutoka Texas.
Hii ndiyo wiki ya lala salama. Hakuna sababu yoyote kwa nini wasimalize Uchaguzi kwa amani.Mimi nadhani pale ushindani ni kati ya CHADEMA na CUF. To be precise,mimi nataka mshindi atoke kati ya hao wawili. Usually mimi huwa napendelea CUF kama hao wawili wakishinda,lakini naona CHADEMA mara wanakuwa full of surprises.
I hope they will be able to avoid violence. Lakini politicians siyo kazi yao kufanya mambo kwa lengo la kudumisha amani. Kazi ya kudumisha amani ni kazi ya peace activists
Lakini wale watu wamesisimka sana. Jana Julius Mtatiro alikuwa anasema anataka kampeni ziwe shwari;anasema hivyo huku amevaa cowboy hat,stetson hat kutoka Texas.
Hii ndiyo wiki ya lala salama. Hakuna sababu yoyote kwa nini wasimalize Uchaguzi kwa amani.Mimi nadhani pale ushindani ni kati ya CHADEMA na CUF. To be precise,mimi nataka mshindi atoke kati ya hao wawili. Usually mimi huwa napendelea CUF kama hao wawili wakishinda,lakini naona CHADEMA mara wanakuwa full of surprises.
I hope they will be able to avoid violence. Lakini politicians siyo kazi yao kufanya mambo kwa lengo la kudumisha amani. Kazi ya kudumisha amani ni kazi ya peace activists