Kampeni Igunga zatawaliwa na vituko badala ya Sera

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
4,916
2,452
Tulitegemea kuwa kampeni za Igunga zingetawaliwa na sera za vyama husika ili wananchi maskini wa nchii waweze kutambua ni mgombea yupi anafaa ili aweze kuwahudumia wanachi wa Igunga, badala yake tumeshuhudia vituko vya kila aina ambavyo ni aibu kwa demokrasia yetu changa.
 
Tulitegemea kuwa kampeni za Igunga zingetawaliwa na sera za vyama husika ili wananchi maskini wa nchii waweze kutambua ni mgombea yupi anafaa ili aweze kuwahudumia wanachi wa Igunga, badala yake tumeshuhudia vituko vya kila aina ambavyo ni aibu kwa demokrasia yetu changa.

Labda navyo ni sehemu kampeni.
 
Labda navyo ni sehemu kampeni.

ILi wasijitokeze wengi kupiga Kura! Ni namna ya kuvuruga wapiga Kura hasa pale umeshajua mambo magumu! NI uhuni. SAsa sijui Mhuni ni yupi kati ya Tume ya UCHAGUZI NA WENYE VYAMA.
 
CHONDE TAASISI ZINAZOTUONGOZAA KIDINI NCHINI ZISIWE ZIKIKIMBILIA SANA KWENYE KIOO KUTEKELEZA MATAKWAA YA WANASISA WAASIOAMINIKA KATIKA JAMII

Ama kweli ajizi nyumba ya njaa; CCM kumbe walikua wamewaingiza porini kabisa baadhi ya ndugu zetu Waislamu kwa taarifa za uongo kama hivi???

Kwa kweli sikujua kwamba ni yule yule mama Kimario jirani yetu kule Mbezi ndiye aliyekua akizungumziwa muda wote. Jamani yule mama wala si Muislamu ni mkristo safi tena Mzee wa Kanisa pale Wazo, duuuhh hawa jamaa jamani!!!!!!

JF team tayari ilishazuru kule kwenye shamba lake la pili kule Tegeta na picha zote za shamba lake tayari ziko hewani JF kusaidia kuthibitisha ukweli kwamba kasingiziwa na CCM taarifa hizo hapo juu.

Mpaka hapa sasa sijui kwamba BAKWATA watalazimika kuitisha mkutano mwingine kukana taarifa zao za awali juu ya huyu mama. Jamani
si kila Fatuma ni Muislamu WAKATI MWINGINE NI JINA TU LA UKOO hivyo kukimbilia kutolea tamko hata mtandio tu wa urembo mtu eti ni hijabu ni makosa sana tu.

Hijabu sisi sote tunaifahamu na kuiheshimu sana; kwa kawaida hutanda kichwani hadi miguuni tena kushitiri mwili mzima sembuse kale ka ulimi wa ng'ombe aliojitupia Mama Kimario kuwahi kwenye kutengeneza misheni za kura zisizoibika Igunga???????????
 
basi kama ni uwanjani hapa kuna watu watafunga magoli mengi lakini kati ya hayo mengi watajifunga wenyewe, kama tunategemea siasa hizi ndo zionyeshwe 2015 basi tuna kazi kweli kweli, inabidi tuwaombe wakina ocampo waweke kambi hapa nchini kwa kipindi hicho ili ushahidi uwepo wa kutosha!
 
CHONDE TAASISI ZINAZOTUONGOZAA KIDINI NCHINI ZISIWE ZIKIKIMBILIA SANA KWENYE KIOO KUTEKELEZA MATAKWAA YA WANASISA WAASIOAMINIKA KATIKA JAMII

Ama kweli ajizi nyumba ya njaa; CCM kumbe walikua wamewaingiza porini kabisa baadhi ya ndugu zetu Waislamu kwa taarifa za uongo kama hivi???

Kwa kweli sikujua kwamba ni yule yule mama Kimario jirani yetu kule Mbezi ndiye aliyekua akizungumziwa muda wote. Jamani yule mama wala si Muislamu ni mkristo safi tena Mzee wa Kanisa pale Wazo, duuuhh hawa jamaa jamani!!!!!!

JF team tayari ilishazuru kule kwenye shamba lake la pili kule Tegeta na picha zote za shamba lake tayari ziko hewani JF kusaidia kuthibitisha ukweli kwamba kasingiziwa na CCM taarifa hizo hapo juu.

Mpaka hapa sasa sijui kwamba BAKWATA watalazimika kuitisha mkutano mwingine kukana taarifa zao za awali juu ya huyu mama. Jamani
si kila Fatuma ni Muislamu WAKATI MWINGINE NI JINA TU LA UKOO hivyo kukimbilia kutolea tamko hata mtandio tu wa urembo mtu eti ni hijabu ni makosa sana tu.

Hijabu sisi sote tunaifahamu na kuiheshimu sana; kwa kawaida hutanda kichwani hadi miguuni tena kushitiri mwili mzima sembuse kale ka ulimi wa ng'ombe aliojitupia Mama Kimario kuwahi kwenye kutengeneza misheni za kura zisizoibika Igunga???????????
Asante mkuu kwa taarifa Njaa za viongozi wa dini Zisitupelekee Uchochezi.
 
Hivi hii ndoa ya CCM na BAKWATA itatuletea mtoto gani watanzania? Na Waislamu wa kweli mko wapi kuwakemea hawa mashehe matumbo wanaoudhalisha Uislamu kiasi hiki?
 
CHONDE TAASISI ZINAZOTUONGOZAA KIDINI NCHINI ZISIWE ZIKIKIMBILIA SANA KWENYE KIOO KUTEKELEZA MATAKWAA YA WANASISA WAASIOAMINIKA KATIKA JAMII

Ama kweli ajizi nyumba ya njaa; CCM kumbe walikua wamewaingiza porini kabisa baadhi ya ndugu zetu Waislamu kwa taarifa za uongo kama hivi???

Kwa kweli sikujua kwamba ni yule yule mama Kimario jirani yetu kule Mbezi ndiye aliyekua akizungumziwa muda wote. Jamani yule mama wala si Muislamu ni mkristo safi tena Mzee wa Kanisa pale Wazo, duuuhh hawa jamaa jamani!!!!!!

JF team tayari ilishazuru kule kwenye shamba lake la pili kule Tegeta na picha zote za shamba lake tayari ziko hewani JF kusaidia kuthibitisha ukweli kwamba kasingiziwa na CCM taarifa hizo hapo juu.

Mpaka hapa sasa sijui kwamba BAKWATA watalazimika kuitisha mkutano mwingine kukana taarifa zao za awali juu ya huyu mama. Jamani
si kila Fatuma ni Muislamu WAKATI MWINGINE NI JINA TU LA UKOO hivyo kukimbilia kutolea tamko hata mtandio tu wa urembo mtu eti ni hijabu ni makosa sana tu.

Hijabu sisi sote tunaifahamu na kuiheshimu sana; kwa kawaida hutanda kichwani hadi miguuni tena kushitiri mwili mzima sembuse kale ka ulimi wa ng'ombe aliojitupia Mama Kimario kuwahi kwenye kutengeneza misheni za kura zisizoibika Igunga???????????
Kwa hiyo ni sawa kudhaliliswa kwa kuwa yeye ni Mkristo na sio mwislamu?
 
Kwa hiyo ni sawa kudhaliliswa kwa kuwa yeye ni Mkristo na sio mwislamu?

Si sawa kudhalilishwa,

ila si sahihi kwa BAKWATA kutolea tamko muislam swafi ilhali anafuga haram shambani kwake

Serikali huko Igunga kwa maana ya jeshi la polisi etc ndio ilitakiwa itoe tamko hilo na si BAKWATA kwa niaba ya waislam

Za kuambiwa changanya na zako!
 
Na je Kanisa likitoa tamko la kupinga udhalilishaji uliofanyika kwa huyu mama, Jf watafanya kazi za ziada kama walivyo fanya wakati BAKWATA ilivyo lalama?
 
Si sawa kudhalilishwa,

ila si sahihi kwa BAKWATA kutolea tamko muislam swafi ilhali anafuga haram shambani kwake

Serikali huko Igunga kwa maana ya jeshi la polisi etc ndio ilitakiwa itoe tamko hilo na si BAKWATA kwa niaba ya waislam

Za kuambiwa changanya na zako!
Hiyo haramu ni dili bibie, kipato chake ni kizuri sana. Mnyama sio haramu kumla ndio haramu. Kwani wanao fuga paka na mbwa wanawala?
 
Hiyo haramu ni dili bibie, kipato chake ni kizuri sana. Mnyama sio haramu kumla ndio haramu. Kwani wanao fuga paka na mbwa wanawala?

Omr kama umehalalisha mimi sina tatizo kabisa
 
Misiwe na Roho ngumu nyinyni au na nyinyi mmetumwa kuja ivuruga JAMII FORUMS, kwani nyie hamjui jinsi CCM wanavyo wadanganya BAKWATA na wao wanatoa kura kisha kuwageuka?
Suala la Mahakama ya kadhi likowapi,, lakini KIKWETE si aliwaahidi na wao wakampa kura haya sasa kiko wapi,, hao jamaa wanambinu nyingi na wameona kuwaingia Wakristo ni ngumu wana wadanganya WAISLAM sasa na sisi waislam tuseme kwa pamoja HATUDANGANYIKI SASA HIVI,, chukua CCM tupa kuleeeee chagua chama kingine kifanye kazi
 
Na je Kanisa likitoa tamko la kupinga udhalilishaji uliofanyika kwa huyu mama, Jf watafanya kazi za ziada kama walivyo fanya wakati BAKWATA ilivyo lalama?

Inasikitisha ccm wameamua kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini. Hii ni mbegu mbaya sana kuipandikiza kwa wananchi na matokeo yake tutayaona.

Sitarajii dini zingine kuingilia suala la kisiasa kama ilivyofanya BAKWATA ambao walienda mbali zaidi na kuwataka wananchi wa Igunga wasichague CDM. Nimesikitishwa na kitendo cha serikali kutshindwa kukemea tamko hilo. Hata tume ya uchaguzi na polisi wameamua kwa makusudi kunyamazia kitendo hicho hatari kwa mustakabali wa Amani ya nchi yetu. Sasa ni dhahiri ccm iko tayari kumwaga damu ilimradi wang'ang'anie madaraka hata pale wananchi wanapowakataa!

Nawaomba wana Igunga muwe jasiri, msikubali kuyumbishwa. Chagueni kiongozi atakayesimamia vyema rasilimali za watanzania kwa faida ya watanzania.
 
CHONDE TAASISI ZINAZOTUONGOZAA KIDINI NCHINI ZISIWE ZIKIKIMBILIA SANA KWENYE KIOO KUTEKELEZA MATAKWAA YA WANASISA WAASIOAMINIKA KATIKA JAMII

Ama kweli ajizi nyumba ya njaa; CCM kumbe walikua wamewaingiza porini kabisa baadhi ya ndugu zetu Waislamu kwa taarifa za uongo kama hivi???

Kwa kweli sikujua kwamba ni yule yule mama Kimario jirani yetu kule Mbezi ndiye aliyekua akizungumziwa muda wote. Jamani yule mama wala si Muislamu ni mkristo safi tena Mzee wa Kanisa pale Wazo, duuuhh hawa jamaa jamani!!!!!!

JF team tayari ilishazuru kule kwenye shamba lake la pili kule Tegeta na picha zote za shamba lake tayari ziko hewani JF kusaidia kuthibitisha ukweli kwamba kasingiziwa na CCM taarifa hizo hapo juu.

Mpaka hapa sasa sijui kwamba BAKWATA watalazimika kuitisha mkutano mwingine kukana taarifa zao za awali juu ya huyu mama. Jamani
si kila Fatuma ni Muislamu WAKATI MWINGINE NI JINA TU LA UKOO hivyo kukimbilia kutolea tamko hata mtandio tu wa urembo mtu eti ni hijabu ni makosa sana tu.

Hijabu sisi sote tunaifahamu na kuiheshimu sana; kwa kawaida hutanda kichwani hadi miguuni tena kushitiri mwili mzima sembuse kale ka ulimi wa ng'ombe aliojitupia Mama Kimario kuwahi kwenye kutengeneza misheni za kura zisizoibika Igunga???????????
Tunafahamu hata kule mgombani kwao akinamama wote wanajitanda kanga kichwani!
Huyo ni mkristo MAGAMBA kimenuka! leteni jingine>!
 
CHONDE TAASISI ZINAZOTUONGOZAA KIDINI NCHINI ZISIWE ZIKIKIMBILIA SANA KWENYE KIOO KUTEKELEZA MATAKWAA YA WANASISA WAASIOAMINIKA KATIKA JAMII

Ama kweli ajizi nyumba ya njaa; CCM kumbe walikua wamewaingiza porini kabisa baadhi ya ndugu zetu Waislamu kwa taarifa za uongo kama hivi???

Kwa kweli sikujua kwamba ni yule yule mama Kimario jirani yetu kule Mbezi ndiye aliyekua akizungumziwa muda wote. Jamani yule mama wala si Muislamu ni mkristo safi tena Mzee wa Kanisa pale Wazo, duuuhh hawa jamaa jamani!!!!!!

JF team tayari ilishazuru kule kwenye shamba lake la pili kule Tegeta na picha zote za shamba lake tayari ziko hewani JF kusaidia kuthibitisha ukweli kwamba kasingiziwa na CCM taarifa hizo hapo juu.

Mpaka hapa sasa sijui kwamba BAKWATA watalazimika kuitisha mkutano mwingine kukana taarifa zao za awali juu ya huyu mama. Jamani
si kila Fatuma ni Muislamu WAKATI MWINGINE NI JINA TU LA UKOO hivyo kukimbilia kutolea tamko hata mtandio tu wa urembo mtu eti ni hijabu ni makosa sana tu.

Hijabu sisi sote tunaifahamu na kuiheshimu sana; kwa kawaida hutanda kichwani hadi miguuni tena kushitiri mwili mzima sembuse kale ka ulimi wa ng'ombe aliojitupia Mama Kimario kuwahi kwenye kutengeneza misheni za kura zisizoibika Igunga???????????

Mkuu kama hii habari ni ya kweli, basi hatuna BAKWATA wala hatuna CHAMA TAWALA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom