youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
- #61
Mimi kwa upande wangu wananchi wangu wa Pemba wanaielewa CCM kwamba ni utawala dhalimu wa mauwaji..
bado wana majeraha ya mauwaji ya january 27 2001 ambapo zaidi ya watu 200 walipigwa risasi na wasiopungua 70 kuuwawa na vikosi vya ulinzi na usalama vya CCM..
hawana lugha ya kuwadanganya Wapemba..
kwa upande wa wavuvi wanayakumbuka machungu ya dikteta makufuli,na hawakuwahi kupata msaada kutoka kwake..
wamiliki wa sheli na waliovunjiwa nyumba wanaelewa roho nyeusi ya makufuli..
basi tumalizie kwa kuwauliza wananchi wanaotumia vivuko vya kivukoni..
HAKUNA MTU MWENYE IMANI YA MUNGU ANAYEWEZA KUUNGA MKONO UTAWALA DHALIMU WA KIFISADI NA WA MAUWAJI..
pia huyu mbulula aelewe machafuko ya Libya yasababishwa na nini ? mtu mzima kulopoka aibu !
mwisho kuthibitisha umbulula alionao anataka wananchi wasikubali mabadiliko na wakati huohuo anajiita Mikufuli 4 Change..
duh !
shughuli ipo mwaka huu.