peace.peace14
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 214
- 36
Salsa kabisa Lowasa ushindi
Sidhani kama wamekubali toka moyoni kwa sababu wenyewe ndio waathirika wa hospitali mbovu zisizo na vitanda wala dawa, watoto shule wanakaa kwenye vumbi na miundombinu bado ni ya mwaka 70.Nami nimefanikiwa kuwabadili 13 voters ambao ni vipenzi vya dkt slaa na prof lipumba kwa kuwaambia mamvi amekuja kuwaharibia kila kitu cdm na ukawa na ndo maana viongozi wenu wamejitoa ninyi mnasubiri nn kweli wameniahidi urais kwa Dr.john P M ila ubunge&udiwani wamesema kwa wa CUF
Mwana ukawa yeyote kuanzia leo Tarehe 25/09/2015_25/10/2015 unaombwa kumnadi mgombea wetu Edward Lowassa ili aweze kushinda Uchaguzi Mkuu Mwezi Ujao.
Ni muhimu kuwaelezea kiundani zaidi hasa watu wa vijijini kwani wamedanganywa na mgombea wa ccm kuwa wakiichagua Chadema nchi itakuwa kama Libya, Hivyo kwa uelewa mdogo wa watu wa vijijini wameingiwa na uoga na kurudisha majeshi nyuma [fear of unknown] kwa juhudi zako tunaomba kura 5 kutoka kijijini kwako, tunaamini kama kwa sasa tupo milion 4.1 na kila mtu akaongeza watu watano inamaana tutafika million 20.5 ambayo ni sawa na asilimia 89 ya watu wote million 23 waliojiandikisha kupata vitambulisho.
Nawasilisha.
mimi na mademu zangu wanne tyar 5
Mimi 108 nina uhakika kwenda kwa Lowassa..!! Family relatives tu hao..
Nikiweka friends ni wengi sijui idadi yao... wote wako kwa Lowassa.... sbb CCM imeshachoka...!!
Hii issue Iwe Ndio ilani yetu malofa tuwe serious
Safi sana....
Hii ni Kampeni ya familia kwa familia....
Mtu kwa mtu......
Mie tayar ninao watano wameelewa somo.