Msisahau kuwaeleza kua tunataka mabadiliko fisadi papa awe Raisi
usiwe na shaka maana hata huko vijijini hawaelewi libya ndo wapi na nini kilitokea.
Msisahau kuwaeleza kua tunataka mabadiliko fisadi papa awe Raisi
Pamoja kamanda........huku sumbawanga vijijini tayari mabadiliko...nlipowaambia lowasa atafuta ushuru wa mazao
Nami nimefanikiwa kuwabadili 13 voters ambao ni vipenzi vya dkt slaa na prof lipumba kwa kuwaambia mamvi amekuja kuwaharibia kila kitu cdm na ukawa na ndo maana viongozi wenu wamejitoa ninyi mnasubiri nn kweli wameniahidi urais kwa Dr.john P M ila ubunge&udiwani wamesema kwa wa CUF
Mwana ukawa yeyote kuanzia leo Tarehe 25/09/2015_25/10/2015 unaombwa kumnadi mgombea wetu Edward Lowassa ili aweze kushinda Uchaguzi Mkuu Mwezi Ujao.
Ni muhimu kuwaelezea kiundani zaidi hasa watu wa vijijini kwani wamedanganywa na mgombea wa ccm kuwa wakiichagua Chadema nchi itakuwa kama Libya, Hivyo kwa uelewa mdogo wa watu wa vijijini wameingiwa na uoga na kurudisha majeshi nyuma [fear of unknown] kwa juhudi zako tunaomba kura 5 kutoka kijijini kwako, tunaamini kama kwa sasa tupo milion 4.1 na kila mtu akaongeza watu watano inamaana tutafika million 20.5 ambayo ni sawa na asilimia 89 ya watu wote million 23 waliojiandikisha kupata vitambulisho.
Nawasilisha.
Tanga cuf inapoteza ushawishi cku hadi cku ki ukawa ndo inakubalika kama hamuamin watafuten wana Jf walio tng
Watumie redio kufikisha ujumbe vijijini otherwise shut up
Nilikuwa na jamaa yangu leo nikielekea town. Yeye siku zote ni CCM damu. Mbele yetu kukawa na roli la maji. Nikamwambia miaka hamsini ya uhuru bado tunasambaza maji kwa vidumu, halafu watu bado mnapigia kura CCM? Eti jiji kubwa kama hili zaidi ya asilimia 50 ya watu wanategemea maji ya vidumu?
Kwa safari ya leo tu nimefanikiwa kubadili fikra mmoja, hadi tar 25 nafikiri nitakuwa nao wengi.
Mimi na familia yangu wote kura kwa lowasa, tumekubaliana....
uhhhh nna kazi ya kusafiri trh 24 naenda Arusha kupiga tu kura, nilishindwa kubadili taarifa
Mi shawaleta 28 ukawa, ni washkaji zangu malofa hapa kilingeni wana hasira balaa...nimewaambia watafute angalau watu wawili kila mmoja. Hatari Pembamnazi huku...
Ni vizuri kuwaeleza watanzania kwa mfano halisi maana ni wagumu kuelewa. Mie huwa nawatumia ndugu zangu picha za madampo ya takataka kwenye makazi ya watu na napiga picha vitongoji vya Dar vilivyo holela halafu nalinganisha na picha za miji iliyopangwa kwa ustadi za Botswana na sasa wote wameachana na CCM.