Kampeni huru za UKAWA 25,September - 25,October

Kampeni huru za UKAWA 25,September - 25,October

Mm nmefanikiwa wa nne bado naendelea na jaramba mpaka kieleweke
 
Msisahau kuwaeleza kua tunataka mabadiliko fisadi papa awe Raisi
 
Mimi na familia yangu wote kura kwa lowasa, tumekubaliana....
uhhhh nna kazi ya kusafiri trh 24 naenda Arusha kupiga tu kura, nilishindwa kubadili taarifa
 
Pamoja kamanda........huku sumbawanga vijijini tayari mabadiliko...nlipowaambia lowasa atafuta ushuru wa mazao
 
usiwe na shaka maana hata huko vijijini hawaelewi libya ndo wapi na nini kilitokea.

hahahaaa, lakini pamoja na kutokujua, mtu akishakwambia usimchague mtu flan kwa sababu itakuwa kama sehem flani bila shaka unaelewa kuwa hiyo sehemu kulitokea jambo baya.
 
Nami nimefanikiwa kuwabadili 13 voters ambao ni vipenzi vya dkt slaa na prof lipumba kwa kuwaambia mamvi amekuja kuwaharibia kila kitu cdm na ukawa na ndo maana viongozi wenu wamejitoa ninyi mnasubiri nn kweli wameniahidi urais kwa Dr.john P M ila ubunge&udiwani wamesema kwa wa CUF
 
Nami nimefanikiwa kuwabadili 13 voters ambao ni vipenzi vya dkt slaa na prof lipumba kwa kuwaambia mamvi amekuja kuwaharibia kila kitu cdm na ukawa na ndo maana viongozi wenu wamejitoa ninyi mnasubiri nn kweli wameniahidi urais kwa Dr.john P M ila ubunge&udiwani wamesema kwa wa CUF

***** umeharibu kila kitu.
 
Tanga cuf inapoteza ushawishi cku hadi cku ki ukawa ndo inakubalika kama hamuamin watafuten wana Jf walio tng
 
Mwana ukawa yeyote kuanzia leo Tarehe 25/09/2015_25/10/2015 unaombwa kumnadi mgombea wetu Edward Lowassa ili aweze kushinda Uchaguzi Mkuu Mwezi Ujao.

Ni muhimu kuwaelezea kiundani zaidi hasa watu wa vijijini kwani wamedanganywa na mgombea wa ccm kuwa wakiichagua Chadema nchi itakuwa kama Libya, Hivyo kwa uelewa mdogo wa watu wa vijijini wameingiwa na uoga na kurudisha majeshi nyuma [fear of unknown] kwa juhudi zako tunaomba kura 5 kutoka kijijini kwako, tunaamini kama kwa sasa tupo milion 4.1 na kila mtu akaongeza watu watano inamaana tutafika million 20.5 ambayo ni sawa na asilimia 89 ya watu wote million 23 waliojiandikisha kupata vitambulisho.

Nawasilisha.

Watumie redio kufikisha ujumbe vijijini otherwise shut up
 
Ktk ukawa cuf inakubalika jijini tng ila imepoteza ushawishi cku zinavyozidi kwenda
 
Mi shawaleta 28 ukawa, ni washkaji zangu malofa hapa kilingeni wana hasira balaa...nimewaambia watafute angalau watu wawili kila mmoja. Hatari Pembamnazi huku...
 
Nilikuwa na jamaa yangu leo nikielekea town. Yeye siku zote ni CCM damu. Mbele yetu kukawa na roli la maji. Nikamwambia miaka hamsini ya uhuru bado tunasambaza maji kwa vidumu, halafu watu bado mnapigia kura CCM? Eti jiji kubwa kama hili zaidi ya asilimia 50 ya watu wanategemea maji ya vidumu?

Kwa safari ya leo tu nimefanikiwa kubadili fikra mmoja, hadi tar 25 nafikiri nitakuwa nao wengi.

Ni vizuri kuwaeleza watanzania kwa mfano halisi maana ni wagumu kuelewa. Mie huwa nawatumia ndugu zangu picha za madampo ya takataka kwenye makazi ya watu na napiga picha vitongoji vya Dar vilivyo holela halafu nalinganisha na picha za miji iliyopangwa kwa ustadi za Botswana na sasa wote wameachana na CCM.
 
Mi shawaleta 28 ukawa, ni washkaji zangu malofa hapa kilingeni wana hasira balaa...nimewaambia watafute angalau watu wawili kila mmoja. Hatari Pembamnazi huku...

yah, ni lazima tufanye maamuzi magumu.
 
Ni vizuri kuwaeleza watanzania kwa mfano halisi maana ni wagumu kuelewa. Mie huwa nawatumia ndugu zangu picha za madampo ya takataka kwenye makazi ya watu na napiga picha vitongoji vya Dar vilivyo holela halafu nalinganisha na picha za miji iliyopangwa kwa ustadi za Botswana na sasa wote wameachana na CCM.

asante sana kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom