Kamishna Andengenye akiwa ndani ya gwanda la Zimamoto

Ni hivi huyu rank yake ya ukamishina inabaki pale pale kwa sababu ile anapewa na rais. Hivyo atatambulika kama hivyo. Kuhusu demotion hapana, kwa sababu kutoka kuwa mkuu wa Usalama na Utumishi wa polisi hadi kuwa mkuu wa jeshi la polizi zima moto ni cheo kikubwa. Ni kikubwa kwamba sababu anaisimamia taasisi kamili, ingawa ipo chini ya Jeshi la Polisi. Cheo chake yeye ni ni kikubwa kwa sasa kwa sababu anasimama kama yeye kwenye cheo chake. Na ndio maana wanapouwa wakuu wa vyombo vya usalama hata yeye unaweza kumuona. Ni sawa na Kamishina wa Magereza, nao si wa wapo chini ya Polisi, lakini kinadharaia wengi hawalioni hilo.
 
Nimemuona kamishna Andengeye ndani ya uniform za Zima Moto.

Hivi Andengenye kimamlaka kapanda au ni demotion..

Hivi anabaki na vyeo/ranks zake za ukamishna wa polisi au anavishwa vyeo vingine vya kizima moto!
View attachment 344693

Mwacheni kamanda Ande akabebe mangazi na mabomba achape kazi! Kazi ni Kazi tu ili mradi package yake iko pale pale!
 
Mkuu mi napita tu lakini ngoja nichangie kidogo, Kimsingi vyeo vya Ukamishna bado anavyo vitabandikwa katika uniform zake mi najua hilo tu.mkuu hebu na wewe nijuze kifupi cha mkuu wa jeshi hilo ni nn? maana, MKUU ni CDF, polisi ni IGP, Magereza ni CGP sasa zimamoto anaitwaje kifupi? tena kwa kiingereza msaada

Fire brigade commander
 
Nimemuona kamishna Andengeye ndani ya uniform za Zima Moto.

Hivi Andengenye kimamlaka kapanda au ni demotion..

Hivi anabaki na vyeo/ranks zake za ukamishna wa polisi au anavishwa vyeo vingine vya kizima moto!
View attachment 344693
Mkuu unataka kutwambia kuwa huko zima mto ni sawa na mikoa ya lindi,kigoma?
 
Jeshi la Zimamoto na Uokozi ni idara kamili chini ya wizara ya mambo ya ndani. Ina hadhi sawa na Polisi, Magereza, Uhamiaji, Wakimbizi nk.

Kwa muundo wa nchi ktk vyombo vya ulinzi na usalama JWTZ ndo wakubwa. Muundo kwa hadhi ni:

1). TPDF (JWTZ)
2). TISS (Usalama wa Taifa)
3). TPF (Polisi)
4). TPS (Magereza)
5). TIS (Uhamiaji)
6). TFF (Zimamoto & Uokozi).

Ktk vikao vyao wenyewe, CDF ndo mwenyekiti huku DGIS akiwa katibu.

Naamini nimeliweka sawa na Nadhani nimeeleweka.

Bazazi
 
Hivi Andengenye kimamlaka kapanda au ni demotion..

Hivi anabaki na vyeo/ranks zake za ukamishna wa polisi au anavishwa vyeo vingine vya kizima moto!

1). Amepanda cheo na madaraka na ana hadhi sawa na ,CDF, DGIS, IGP, na CGP

2). Ranks zinabadilika kwani kapanda cheo

Bazazi!
 
Demotion.... Maana zimamoto ni Taasisi..... Halafu police ni jeshi...
 
hahaha tumui
Mkuu mi napita tu lakini ngoja nichangie kidogo, Kimsingi vyeo vya Ukamishna bado anavyo vitabandikwa katika uniform zake mi najua hilo tu.mkuu hebu na wewe nijuze kifupi cha mkuu wa jeshi hilo ni nn? maana polisi ni IGP, MKUU ni CDF, sasa zimamoto anaitwaje kifupi? tena kwa kiingereza msaada


hahaha kwa kweli sijui
 
Jeshi la Zimamoto na Uokozi ni idara kamili chini ya wizara ya mambo ya ndani. Ina hadhi sawa na Polisi, Magereza, Uhamiaji, Wakimbizi nk.

Kwa muundo wa nchi ktk vyombo vya ulinzi na usalama JWTZ ndo wakubwa. Muundo kwa hadhi ni:

1). TPDF (JWTZ)
2). TISS (Usalama wa Taifa)
3). TPF (Polisi)
4). TPS (Magereza)
5). TIS (Uhamiaji)
6). TFF (Zimamoto & Uokozi).

Ktk vikao vyao wenyewe, CDF ndo mwenyekiti huku DGIS akiwa katibu.

Naamini nimeliweka sawa na Nadhani nimeeleweka.

Bazazi


umeweka sawa lakini ndani ya katiba majeshi yametajwa mawili tu jwtz na polisi..TISS imetajwa kwenye lisit ya vyombo vya ulinzi na usalama na siyo katika list ya majeshi..magereza nk hawapo
 
Aloo sana
Jeshi la Zimamoto na Uokozi ni idara kamili chini ya wizara ya mambo ya ndani. Ina hadhi sawa na Polisi, Magereza, Uhamiaji, Wakimbizi nk.

Kwa muundo wa nchi ktk vyombo vya ulinzi na usalama JWTZ ndo wakubwa. Muundo kwa hadhi ni:

1). TPDF (JWTZ)
2). TISS (Usalama wa Taifa)
3). TPF (Polisi)
4). TPS (Magereza)
5). TIS (Uhamiaji)
6). TFF (Zimamoto & Uokozi).

Ktk vikao vyao wenyewe, CDF ndo mwenyekiti huku DGIS akiwa katibu.

Naamini nimeliweka sawa na Nadhani nimeeleweka.

Bazazi
Aloo sana mkuu
 
Back
Top Bottom