Hii style inaitwa FULL GAMBA na hapo ilikuwa mwaka 2010 wakati anaenda kumpigia kura Nyerere. Hekaheka ilikuja pale alipoambiwa kwamba jina la mgombea anayemtaka (Nyerere) halipo kwenye ballot paper. Hilo timbwili lake, sitaki hata kulisimulia hapa--lilikuwa babkubwa usipime!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.