EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,356
Point yako naona inaangukia hapa.
(11) Wenyeviti wa Kamati za Bunge zinazosimamia matumizi ya
fedha za Umma ambazo ni Kamati ya Hesabu za Serikali, Kamati ya
Hesabu za Serikali za Mitaa na Kamati ya Hesabu za Mashirika ya
Umma watachaguliwa kutoka miongoni mwa Wajumbe wa Kamati
hizo ambao wanatoka katika Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Sidhani kama hiki kipendele kingetakiwa kwanza kielekebiswe kabla ya kuiondoa kwa sababu kipo kwaq ajiri maalum ya kuwapa wapinzani kipao cha mbele.
Nadhani for drafting purposes kulikuwa na umuhimu kwanza wa kufuta hapo kwenye red kama walivyofanya kwenye Audit Act 2008 kabla ya kuifuta POAC.
Vinginevyo kifungu kitakuwa kinataja kamati ambayo haipo.
Hizo kanuni zipo online? Nipe link please.