messi the best
Member
- Dec 7, 2015
- 18
- 4
Zito wamemtoa kwenye ulaji.
Zitto yupo katiba na sheria bana acha fiksiViwanda biashara mazingira
Julius kalanga MONDULI CDM
khatib said haji CUF
anthony komu CDM
HAWA CDM
JESCA KISHOA (MKE WA KAFULILA)
NA DADA ANATROPIA THEONIST CDM VITI MAALUM DSM
Kila kamati ikifanya kikao,mwenyekiti anapata posho milioni moja na wajumbe wanapata laki 5,na wakisafiri mwenyekiti anakatiwa tiketi ya go and return ya ndege tena first class.na hotel analipiwa ya nyota tanoTunataka uwajibikaji wa kamati na si majina ya nani yuko hapa na nani kawekwa pale kuanzia wenyeviti na wajumbe wao.
Alafu hivi ni kwanini mtu ashukuru kupewa uenyekiti wa kamati fulani badala ya kufikiria mzigo aliobebeshwa?
Si bure kwenye hizi kamati kuna kitu.
Utasahaulika na kupotea ukoo wenu wote lakini sio zitto, tena mnavyozaliwa wanawake tupu mbona mtasahaulika mapema bintiTatizo Lake undumilakuwili na usaliti.
Soon atasaulika.
Unajua hata mwewe anapokosa kifaranga na kuzoa manyasi humchukua muda kugundua kama amezoa manyasi na sio kifaranga na kuyaachia. Yumukini humshukuru Mungu kama anae, lakini sina hakika anapogundua kazoa nyasi humkufuru, kwa sababu wapo mwewe wengine hata uwezo wa kupata nyasi wanapokosa kifaranga hawana.Leo kutoka magazetini asubuhi nimesikia wakisema Spika atatangaza majina ya kamati za bunge, na nimeona Zitto Kabwe amepost FB kitu hiki:-
Zitto Kabwe
28 mins ·
Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ndio Kamati nitakayohudumu katika Bunge la 11. Namshukuru Mheshimiwa Spika kwa uteuzi wake huu kwangu. Kamati hii inashughulika na Masuala ya Vijana, Michezo, Ajira, Elimu na Afya. Ni kamati muhimu sana. Nitaitendea haki na kuwatendea Haki Watanzania. Kazi iendelee
Mwenye majina kamili atuwekee hapa, au kama kuna uzi wa namna hii tuelekezane, nina hamu ya kujua PAC na LAC members ni kina nani, pia kamati ya Nishati na Madini.
Ukifa atasahulika nadhani umeelewaTatizo Lake undumilakuwili na usaliti.
Soon atasaulika.
Kwa nini wanamchukia? Kwa nini yeye na sio wengine?Kuna WATU YAANI SIKU WAKISIKIA ZITTO KAFA,WATAFANYA BONGE LA SHEREHE MAANA CHUKI ZIMEVUKA KIKOMO AISEE.Binadamuuuuu
Kwa ushahidi gani uliokuwa nao wewe?tatizo lenu mnaona anachokifanya mbowe ni sahihi asiingiliwe kwa lolote,na anachokwambieni ndio hicho hicho,mnakera sana ndio maana wanakuiteni nyumbu kwa kuamini na kufuata lililo mbele yenuNi msaliti tatizo wewe huelewi maana ya usaliti. Usaliti ni kwenda kinyume na mwelekeo uliokubaliwa. Zito anataka mwelekeo wake au ule unaoongozwa toka CCM
Kama fikra zako ni hizo pole sana ,na kwa taarifa yako tu kubenea hata cheti halisi cha form four hana,na hajulikani kasomea wapi elimu yake ya juu mkuu kubenea yake ni fitna na uongo tu.PAC anapewa Kubenea kutoka na elimu yake nadhani anafaa kuongoza hiyo kamati.
Basi hajasoma kabisa hata la chekechea...Kama fikra zako ni hizo pole sana ,na kwa taarifa yako tu kubenea hata cheti halisi cha form four hana,na hajulikani kasomea wapi elimu yake ya juu mkuu kubenea yake ni fitna na uongo tu.
Akili zako ni za kisali unajisaliti hadi mwenyeweKwa ushahidi gani uliokuwa nao wewe?tatizo lenu mnaona anachokifanya mbowe ni sahihi asiingiliwe kwa lolote,na anachokwambieni ndio hicho hicho,mnakera sana ndio maana wanakuiteni nyumbu kwa kuamini na kufuata lililo mbele yenu