stwita
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,340
- 761
Kamati ya PIC ni ipi ama unakusudia PAC¿Joseph haule kamati ya PIC
Kamati ya PIC ni ipi ama unakusudia PAC¿Joseph haule kamati ya PIC
Mitaji na uwekezaji wa umma mkuuKamati ya PIC ni ipi ama unakusudia PAC¿
wangese tu ndio hawatambui mchango wa huyu jamaaSafii si kitu chepesi sana kumkosa mtu kama zitto kwenye uongoz wa hizi kamati za bunge, tuweke ushabiki wa vyama pemben jamaa anajitahid mno
yaani kwenye hiyo kamati yuko mwenyewe...Huyu jamaa atawaunyesha kitu tofauti you just watch and see
Kamati hii pia inahusika na elimu natumai atahakikisha vyeti feki na elimu ya hapa na pale inatokomezwaKamati ya Maendeleo ya jamii si ndio inahusika na kuhakikisha jamii inakuwa na vyoo bora? Aitumie hiyo kamati kuhakikisha wananchi wa lile jimbo alilolikimbia wanajifunza matumizi ya vyoo badala ya kwenda porini. Hususani maeneo ya Mwandiga. Wakati tunafikiria kujenga ma fly over ni aibu kwa wa TZ wenzetu kujisaidia porini. Najua alishindwa kufanya hayo wakati ule kwani alikuwa busy kutumikia vyama viwili Chadema na ccm
Kubenea yuko kamati ipi?kubenea pia
swissme
mbona mtakoma.Leo kutoka magazetini asubuhi nimesikia wakisema Spika atatangaza majina ya kamati za bunge, na nimeona Zitto Kabwe amepost FB kitu hiki:-
Zitto Kabwe
28 mins ·
Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ndio Kamati nitakayohudumu katika Bunge la 11. Namshukuru Mheshimiwa Spika kwa uteuzi wake huu kwangu. Kamati hii inashughulika na Masuala ya Vijana, Michezo, Ajira, Elimu na Afya. Ni kamati muhimu sana. Nitaitendea haki na kuwatendea Haki Watanzania. Kazi iendelee
Mwenye majina kamili atuwekee hapa, au kama kuna uzi wa namna hii tuelekezane, nina hamu ya kujua PAC na LAC members ni kina nani, pia kamati ya Nishati na Madini.
KAMATI YA MIUNDOMBINU
JAMES FRANCIS MBATIA (MB) NCCR MAGEUZI
WILLY QAMBALO CDM
ZUBEDA H SALUM CDM
KHADIJA S ALLY CUF
MARRY MURO CDM
JEFF MICHAEL CDM
magumashi bunge la ccm sio la JMTMbona kamati unakuta chama kimojaa??
Kwanini wasichanganywee??