Kamati za Bunge

Kamati za Bunge

Zitto analalamika bado anaona km kupangiwa kamati nyingine ni km kupewa adhabu..vile na kiukweli PAC itaongozwa na mbunge ambae hajawahi kua hata mbunge hapo awali eidha yule wa tanga mjini au kaboyokwa wote hawa ni wazuri. Km mmoja wapo atapewa PAC kuiongoza
 
Kuna Mbunge wa Bunda bandia namuona kwenye Kamati ya Ardhi Maliasili na Utalii anaitwa Boniface Mwita Getere alhali Mbunge halali wa Bunda ni Esther Bulaya yuko Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma!!! Pia Juliana Daniel Shonza naona kaandikwa kama Constituent Member (kamati ya mambo ya nje, ulinzi na usalama) alhali ni Special Seat (CCM) na hii ni kwenye tovuti ya Bunge!!! 🙁
 
Kuna Mbunge wa Bunda bandia namuona kwenye Kamati ya Ardhi Maliasili na Utalii anaitwa Boniface Mwita Getere alhali Mbunge halali wa Bunda ni Esther Bulaya yuko Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma!!! Pia Juliana Daniel Shonza naona kaandikwa kama Constituent Member (kamati ya mambo ya nje, ulinzi na usalama) alhali ni Special Seat (CCM) na hii ni kwenye tovuti ya Bunge!!! 🙁
Elimu, Elimu, Elimu......
 
Back
Top Bottom