Kamati za Bunge

Kamati za Bunge

Leo kutoka magazetini asubuhi nimesikia wakisema Spika atatangaza majina ya kamati za bunge, na nimeona Zitto Kabwe amepost FB kitu hiki:-

Zitto Kabwe
28 mins ·

Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ndio Kamati nitakayohudumu katika Bunge la 11. Namshukuru Mheshimiwa Spika kwa uteuzi wake huu kwangu. Kamati hii inashughulika na Masuala ya Vijana, Michezo, Ajira, Elimu na Afya. Ni kamati muhimu sana. Nitaitendea haki na kuwatendea Haki Watanzania. Kazi iendelee


Mwenye majina kamili atuwekee hapa, au kama kuna uzi wa namna hii tuelekezane, nina hamu ya kujua PAC na LAC members ni kina nani, pia kamati ya Nishati na Madini.
Anahudumu kama mwenyekiti au mjumbe?
 
hongera sana mhe. zzk, nakutakia kila la heri katika kutekeleza majukumu yako katika kamati ya huduma na maendeleo ya jamii. spika hakukosea. you're young, vocal, energetic, dynamic and a genious. usijibizane na mijitu yenye elimu ya hapa na pale isije ikawa tukashindwa kuona tofauti. wewe ni wa matawi ya juu. kazi njema.
Why unamsifia Zitto tu kwani kamati hiyo haina wajumbe wengine?Maana Zitto si kiongozi wa kamati ni Mjumbe wa kamati,sasa hapo kuna la ajabu kweli?kila mbunge lazima awe mjumbe wa kamati husika
 
hongera sana mhe. zzk, nakutakia kila la heri katika kutekeleza majukumu yako katika kamati ya huduma na maendeleo ya jamii. spika hakukosea. you're young, vocal, energetic, dynamic and a genious. usijibizane na mijitu yenye elimu ya hapa na pale isije ikawa tukashindwa kuona tofauti. wewe ni wa matawi ya juu. kazi njema.
Teeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh mnaliwazana machungu? Yeye alitaka uenyekiti wa pac
 
hongera sana mhe. zzk, nakutakia kila la heri katika kutekeleza majukumu yako katika kamati ya huduma na maendeleo ya jamii. spika hakukosea. you're young, vocal, energetic, dynamic and a genious. usijibizane na mijitu yenye elimu ya hapa na pale isije ikawa tukashindwa kuona tofauti. wewe ni wa matawi ya juu. kazi njema.
Matawi ya juu ya mchikichi, teeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh
 
Hakika!!
Na hii kamati kwa ninavyomjua zitto ni lazima itajulikana sana hata kuvuma pia!

Mana ni kama mtoto wa haramu hata akifungiwa kwenye chupa ni lazima atatoa kidole ili mradi tu ajulikane
Yeye alitaka uwenyekiti wa pac, teeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh
Cc mcubic
 
Kijana hzo ni chuki zako binafsi,ukizungumzia siasa za Tz ukasahau kumtupiamo Zitto zuberi Kabwe Ruyagwa KIGOMA,ujue huna weledi juu ya maswala ya Siasa za Tz!!!
Kwa .namna ulivyotumia neno 'weledi' siyo mahali pake.
 
Kikwete angekuwepo lazima Zitto angepewa PAC sijui walikuwa na siri gani.
 
Usaliti wake ni upi?kuutaka uwenyekiti wa CHADEMA ? acheni kufuata upepo bana
Ni msaliti tatizo wewe huelewi maana ya usaliti. Usaliti ni kwenda kinyume na mwelekeo uliokubaliwa. Zito anataka mwelekeo wake au ule unaoongozwa toka CCM
 
Hivi kabla ya zitto kuhudumu kamati ya PAC ilikua inaongozwa na nani? Na je ilikua inajulikana kwa kiasi gani?

Nauliza wadau
 
haki elimu wajiandae kutoa mkopo kwa lekadutigite!!
 
Kisiaza Zitto kapigwa kumbo kubwa sana maana kamati aliyokwenda sio kamati ya kuonekana mbele za umma sana yaani sio kamati ya runinga
 
PAC anapewa Kubenea kutoka na elimu yake nadhani anafaa kuongoza hiyo kamati.
 
Hakika!!
Na hii kamati kwa ninavyomjua zitto ni lazima itajulikana sana hata kuvuma pia!

Mana ni kama mtoto wa haramu hata akifungiwa kwenye chupa ni lazima atatoa kidole ili mradi tu ajulikane
Mkuu hata kama unamchukia Zitto tumia lugha za kiungwana.
 
Back
Top Bottom