Public Investments Committee - PIC (Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma)Kamati ya PIC ni ipi ama unakusudia PAC¿
mlikuwa wote kumbe na wewe unaamini akili za mganga kuliko zakoKachimbiwa ziwa tanganyika miezi miwili kaambulia ujumbe,teh teh

Kumbe na hiyo ni id yake? Basi jamaa kachukia sana itakuaYuda iskariote mbona povu sana aisee, ww sio mpinzani ww ni popo!
Mkuu unaweza saidia kuweka wabunge wa CCM mi siwez kuwaandika majina ya CCMNalifikiri itakua vema mod akabadili kichwa cha habari kikawa Update ya Kamati kwa wabunge wa Ukawa
yuda kamaindi kinomaaaKumbe na hiyo ni id yake? Basi jamaa kachukia sana itakua
Kwani akijiunga na chama cha kijani kuna ubaya? Mi namshauri ajiunge moja kwa moja ili wampe japo uwaziri wa wanawake jinsia na watotoyuda kamaindi kinomaaa
Hee yamekua hayoZito anataka kupigana twita/fb.analazimisha apewe hongera,watu wanampa pole
Ndo maana humu jf yupo anafyatua matusi tu kumbe kapanikZito anataka kupigana twita/fb.analazimisha apewe hongera,watu wanampa pole