Kamati za Bunge

Kamati za Bunge

Majina ya wabunge walioko kwenye kamati za Bunge na Kamati zao.
 

Attachments

  • 12508831_1069271586466746_4740862254867466537_n.jpg
    12508831_1069271586466746_4740862254867466537_n.jpg
    53.2 KB · Views: 30
  • 12508810_1069272713133300_6630043708632312706_n.jpg
    12508810_1069272713133300_6630043708632312706_n.jpg
    48.8 KB · Views: 32
  • 12573732_1069272499799988_8729503475515299689_n.jpg
    12573732_1069272499799988_8729503475515299689_n.jpg
    60.4 KB · Views: 34
  • 12552629_1069272366466668_2871472609963683802_n.jpg
    12552629_1069272366466668_2871472609963683802_n.jpg
    50.9 KB · Views: 41
  • 1937223_1069272869799951_4273730347868791171_n.jpg
    1937223_1069272869799951_4273730347868791171_n.jpg
    52.4 KB · Views: 31
Watu wengi hawajui umuhimu wa kamati ya maendeleo ya jamii! Hii ndio kamati ambayo mwenye akili yeyote anapaswa kuililia. Maana hakuna mipango,fedha yeyote inayolenga maendeleo ambayo haitatizamwa na kamati hii. Ni sawa katika halmashauri zetu unyeti wa idara ya Maendeleo ya jamii na Mipango na uchumi. Hizi ndio moyp wa halmashauri. Hongera Zitto,kwa akili yako na weledi utatuonyesha siasa ya weledi na ufundi mkubwa kama ulivyozoea kufanya. Najua unajua na unajua kuwa unajua.
 
Wakuu mwenye updates yeyote juu ya kamati za bunge letu asisite kutupa
Naanza na hii

Zitto Zubeir Kabwe Kamati ya maendeleo ya jamii

Ambayo vijana michezo afya ndo miongoni mwa majukumu yake

Joseph Haule kamati ya PIC pamoja dada Esther Matiko pamoja na MH Songoro.
 
Mkuu hata kama unamchukia Zitto tumia lugha za kiungwana.
Mkuu mie simchukii zitto hata kwa bahati mbaya!! Zitto ndio kiigizo changu ktk siasa za TZ na huo msemo ni wa kawaida saaana kama we ni msomaji wa vitabu vya zaman
 
Kamati ya Maendeleo ya jamii si ndio inahusika na kuhakikisha jamii inakuwa na vyoo bora? Aitumie hiyo kamati kuhakikisha wananchi wa lile jimbo alilolikimbia wanajifunza matumizi ya vyoo badala ya kwenda porini. Hususani maeneo ya Mwandiga. Wakati tunafikiria kujenga ma fly over ni aibu kwa wa TZ wenzetu kujisaidia porini. Najua alishindwa kufanya hayo wakati ule kwani alikuwa busy kutumikia vyama viwili Chadema na ccm
Acha unafiki
 
Peter sserukamba
Na rafael chegeni ndo wanaiongoza kamati ya zitto kabwe
 
Mkuu hata kama unamchukia Zitto tumia lugha za kiungwana.
Mkuu mie simchukii zitto hata kwa bahati mbaya!! Zitto ndio kiigizo changu ktk siasa za TZ na huo msemo ni wa kawaida saaana kama we ni msomaji wa vitabu vya zaman
 
Namtakia heri. Naamini nyota yake itang'aa hata huko
 
Tunataka uwajibikaji wa kamati na si majina ya nani yuko hapa na nani kawekwa pale kuanzia wenyeviti na wajumbe wao.

Alafu hivi ni kwanini mtu ashukuru kupewa uenyekiti wa kamati fulani badala ya kufikiria mzigo aliobebeshwa?

Si bure kwenye hizi kamati kuna kitu.
Mwanasiasa kazi yake ni hiyo!
Kama angelalamika kwa kupewa majukumu basi alipaswa aachane na siasa kabisa!
Kama kuna mwanajeshi anakataa kwenda vitani eti kwa kuwa vita ni hatari, anapaswa kuvuliwa gwanda!
Yes ame-appreciate kuwa kazi ni ngumu na muhimu, lkn ukiwa politician kazi ngumu ndio inakupa credit zaidi! Hii ndio sehemu ambayo ata shine kama ataipatia au atajiumiza kisiasa kama atapotea!
By the way, kwanini unashangaa zitto kutaka majukumu mazito, mbona chadema mlikuwa mnataka kwenda ikulu, mlikuwa mnaona ni kazi rahisi? Au na nyinyi kulikuwa na kitu anatafuta!
 
Back
Top Bottom