#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?

Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣...
Hata walioshiriki ku-compile hayo mavitabu wengine hawajasoma page zote!
 
Ukisoma ripoti nzima hakuna jipya na ni yale yale tunayoyasikia mataifa ya nje.Inaonekana hawakutumia ujuzi na akili zao wala kusikiliza maoni ya wananchi bali wamekopi na kubandika...
Hiyo ripoti umeisoma wapi maana hata Samia ndio kaipokea.
 
Ukisoma ripoti nzima hakuna jipya na ni yale yale tunayoyasikia mataifa ya nje.Inaonekana hawakutumia ujuzi na akili zao wala kusikiliza maoni ya wananchi bali wamekopi na kubandika.
Hivi kamati haijasikia kwamba chanjo nyingi zina madhara na mataifa kadha wa kadha wanazirejesha kwao.
Na hawajasikia kuwa taifa lillochanjwa kwa zaidi ya asilimia 60 corona ndio kwanza inaongezeka.
Na kwamba sasa corona huko ilipo haichagui tena umri,mbona wao bado wanagwa makundi ya watoto na wazee.
Ujinga mtupu huu.
 
Wamependeza sana Viongozi wetu wameziba midomo labda sasa tutayapona matamko wakae hivyo hivyo
 
Ukisoma ripoti nzima hakuna jipya na ni yale yale tunayoyasikia mataifa ya nje.Inaonekana hawakutumia ujuzi na akili zao wala kusikiliza maoni ya wananchi bali wamekopi na kubandika.
Hivi kamati haijasikia kwamba chanjo nyingi zina madhara na mataifa kadha wa kadha wanazirejesha kwao.
Na hawajasikia kuwa taifa lillochanjwa kwa zaidi ya asilimia 60 corona ndio kwanza inaongezeka.
Na kwamba sasa corona huko ilipo haichagui tena umri,mbona wao bado wanagwa makundi ya watoto na wazee.

Binafsi nakuunga mkono. Sioni kama hawa watu walihitaji kuandika kurasa zote hizo, badala ya kusema tufuate yasemwayo na nchi zingine. Mapendekezo yenyewe ni kama tena yanahitaji kamati nyingine iyafanyie kazi maana hakuna pendekezo la ki-utendaji.

Ni ripoti inayoonesha uwezo mdogo wa wajumbe kutambua yanayotokea duniani.
 
Mama yenu amezungukwa na madalali ,dalali yupo radhi kusema uongo mkubwa hili apate kodi ya mwezi mmoja tu na kukuacha ww ukiangaika miezi 6 au mwaka mzima

Covid ipo toka 2019 imepiga waves zote kwa nguvu nchi ambayo kwa sasa covid inaitesa ni INDIA ,Tanzania tuliamua kuchukua uamuzi wa wachache yani No Lockdown kuvaa mask ni utashi wako na kutozuia mikusanyiko na Mungu alikuwa upande wetu kwa maana hatuna athari kubwa sana za covid mpk sasa

Dunia inakwenda kufunguliwa kwa maana nchi nying zimeshaachana na masharti yale makubwa kuhusu covid (Lockdown,Mask On , Social Dis nk)na maisha yanaendelea kurudi kawaida tu.. sasa nitashangaa sana huyu mama kuturudisha nyuma yani mtoto anatembea kisa hakupitia stage ya kutambaa unamwambia arudie step ya kutambaa by the way Covid Funds wazungu hawatoi siku hz... coz trend ya Ugonjwa inakwisha Kenya wamekula sana hii hela sisi tukasema watusamehe madeni hatukuchukua sasa sijui huyu anataka nini

Hakuna Sehemu ambayo Mtanzania amepigwa Burn kuwa tusiende kote tunaenda ni kupima tu covid test then unajichanganya .. Ngoja tuone kilichokuwa nyuma ya yale mabarakoa waliokuwa wanavaa

Wale wanaotaka kwenda kwa mabeberu watafata taratibu za kupima au chanjo wengine ambao hatuna mpango wa kwenda kwa mabeberu watuache tuendelee kujichanganya mitaani huku tukiendelea kula bata letu na kujipongeza kwa totox za Badoo,Tinder na Exotic
 
Mwendazake alikuwa anatisha kwelikweli, halafu sijui akili zake alikuwa amepewa na nani maana hata mama janeth & jokate walikuwa hawamuelewi wao walikuwa ni kuvua na kutegesha basi mambo mengine walikuwa wanamuachia mwenyewe
Mkuu hatupo zama za mwokozi YESU kutumia luga ya mafumbo, tuweke wazi mama J na J mambo gani walikua wakiyamaliza wenyewe?
 
Hivi kamati haijasikia kwamba chanjo nyingi zina madhara na mataifa kadha wa kadha wanazirejesha kwao.
Are you a scientist, at least by Tanzania standards? Madhara ya chanjo za corona yako within acceptable ranges. Any drug ina madhara mradi yawe kwenye acceptable ranges.

  • Experts continue to say blood clots caused by COVID-19 vaccines are a rare occurrence.
  • So far, the clots have appeared in about 5 people for every 1 million vaccinated. The rate among people diagnosed with COVID-19 is 39 per million.
The parents of an 18-year-old Nevada woman say she i

Hata maji yana madhara lakini tunayanywa within acceptable ranges
Drinking too much water can result in water intoxication, also known as hyponatremia, causing the inside of cells to flood due to abnormally low sodium levels in your bloodstream. In severe cases, water intoxication can lead to debilitating health problems such as seizures, coma, and even death.
 
Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?

Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣.

Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.

Yeye ni mitandao tu 🤣🤣.
Wasukuma bado mna madukuduku!!!
 
Back
Top Bottom