wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Lazima ripoti inenepe kujustfy mkwanja mnene waliovuta. Naamini mapendekezo haya ya tume yangeweza kutolewa NA Rais au Waziri wa Afya bila hata Kaunda tume. Upigaji uendelee
Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?
Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣.
Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.
Yeye ni mitandao tu 🤣🤣.