<br /><br /><br />
<br /><br />
Saint Ivuga naheshimu sana michango yako lakn kwa hili la Lowassa kua raisi ckusupport
offcourse hata mimi simkubali Lowasa na Kikwete wake .. lakini JK mwenye mamlaka anashindwa nini kutoa sauti moja ili jamaa waondoke? Lowasa ana nguvu sana pale .. but let see the end of this.<br />
<br />
Saint Ivuga naheshimu sana michango yako lakn kwa hili la Lowassa kua raisi ckusupport
msiichezee CCM, Chenge anang'oka leo rasmi na mkuu ELN hilo la M/kiti ila asipoangalia ndio mpasuko wa CCM
<br />
<br />
LAURENCE SUBIRI 2015 OCTOBER 30 AMA 31 PALE UWANJA MPYA WA TAIFA NDIO UTAJUA SAINT ANAMAANISHA NINI??
HUYU NDIE RAIS WA KWANZA KUAPISHWA KWENYE UWANJA WENYE HESHIMA NA NDIE RAISI ATAKAE TUONGOZA MIAKA 15 KWA MARA YA KWANZA TANZANIA SUBIRI
UONE AKIBAKIZA MIWILI KAMA ATUJAOMBA KUBADIILI KATIBA
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
<br />
LAURENCE SUBIRI 2015 OCTOBER 30 AMA 31 PALE UWANJA MPYA WA TAIFA NDIO UTAJUA SAINT ANAMAANISHA NINI??<br />
HUYU NDIE RAIS WA KWANZA KUAPISHWA KWENYE UWANJA WENYE HESHIMA NA NDIE RAISI ATAKAE TUONGOZA MIAKA 15 KWA MARA YA KWANZA TANZANIA SUBIRI<br />
UONE AKIBAKIZA MIWILI KAMA ATUJAOMBA KUBADIILI KATIBA
<br />offcourse hata mimi simkubali Lowasa na Kikwete wake .. lakini JK mwenye mamlaka anashindwa nini kutoa sauti moja ili jamaa waondoke? Lowasa ana nguvu sana pale .. but let see the end of this.
Hatutaki wafanyabiashara waongoze CCM,na wewe kama unawatetea TOKA!!jakaya ana vyombo vya dola ambavyo chenge hana ila Lowassa ana wafuasi wa kutosha ktk watendaji wa CCM na pia any attempt ya kum assinate ni kashfa ambayo JAKAYA AHATAKAA SALAMA NAFSINI NA ROHONI, akilazimishwa kumtoa mbio CCM itachanika na si kwa style ya Mrema but for real na hata huo Muungano utakuwa shakani kwa wana CCM wenyewe, the otherside todate hawaeleweki ktk hili janga la kujivua magamba
kama unadhani ni wafanyabiashara ndio tatizo la ccm basi kweli wewe kobe--low, tafakari ukimya wa wazanzibar ktk kujivua gamba!!!! Mbona wao wana wana ccm tele wenye biashara bara na visiwani~~~!!!!!!hatutaki wafanyabiashara waongoze ccm,na wewe kama unawatetea toka!!
sasa ni 22:35. TUNA;OMBA DATA JAMANI!!!...