Naona leo umewapumzikia chadema
ha haaaa huuuuu hiiiiiii wacha nicheke miye. mods wamenitishia ban kama dada faiza. kuna tetesi za mods mmoja kuhongwa na chadema. ni yule aliyehama ccj. wakinifungia nitakuja na id nyingine. chadema hao walie tuuuuuu
Naona leo umewapumzikia chadema
six alikuwa anatoa siri za vikao. kaachwa nje ya cc huko sasa hata fmes hawezi kupata habri.
sosi ya habari za fmes sio mzee malecela. mama kilango alikuwa sosi baada ya kuambiwa na sita.
malecela noma anamficha hata mkewe.
milango yote imefungwa hiyo jf mlie tu. subirini nec sita na wenzake watatoa siri
hiyo id nyingine wala haitanoga...! niulize mimi niliye kwenye ban....hii id ya pili ni kama vile nimepoteza identity!ha haaaa huuuuu hiiiiiii wacha nicheke miye. mods wamenitishia ban kama dada faiza. kuna tetesi za mods mmoja kuhongwa na chadema. ni yule aliyehama ccj. wakinifungia nitakuja na id nyingine. chadema hao walie tuuuuuu
Hivi wewe neno HABARI unalichukuliaje hata ile kujua hakuna aliyejivua gamba wakati kikao bado kinaendelea ni habari tosha iliyovuja wewe unataka kusikia Chenge amejivua ndiyo uite habari imevuja wewe vipi hata Membe kukaa kimya ni habari kuvuja vilevile tungejuaje alikaa kimya.six alikuwa anatoa siri za vikao. kaachwa nje ya cc huko sasa hata fmes hawezi kupata habri.
sosi ya habari za fmes sio mzee malecela. mama kilango alikuwa sosi baada ya kuambiwa na sita.
malecela noma anamficha hata mkewe.
milango yote imefungwa hiyo jf mlie tu. subirini nec sita na wenzake watatoa siri
six alikuwa anatoa siri za vikao. kaachwa nje ya cc huko sasa hata fmes hawezi kupata habri.
sosi ya habari za fmes sio mzee malecela. mama kilango alikuwa sosi baada ya kuambiwa na sita.
malecela noma anamficha hata mkewe.
milango yote imefungwa hiyo jf mlie tu. subirini nec sita na wenzake watatoa siri
Mods mbona huyu FF anakuja na hii ID yake mnamwacha Mfungwa ni mfungwa tu, atakama anabadili vazi au jina mtu ni yuleyule arudishwe kifungoni tafadhali sana, mtendeeni haki yake.
Mkuu ungetumia neno "genge" ingeleta maana uliyokusudia zaidi.Hili kundi la wezi linajifia sasa!!!
mizizi wewe soma tu huo ujumbe mwingine. membe alikaa kimya hakusema kitu. membe sio mjumbe. je aliitwa halafu akawa hawezi kusema kitu. lowasa haongei bali anaongelewa na watu. ameitwa na mwenyekiti kujitetea akawa haongei na anaongelewa na watu. lowasa angekuwa mjumbe ningeelewa lakini si mjumbe. hiyo taarifa imepikwa kwa mabua ya mahindi. haijaiva kabisa.
unaweza kun'goa nguzo ya nyumba yako?
TAARIFA...!wewe mpalestina arafat kumbe choo hivyo tena cha kike.
mimi ningelikuwa na akili kama ya faiza ningefurahi sana. yule mdada akili inafanya kazi. ndio maana wanaume hapa wanamwogopa.
kunifungia mimi ni kunionea. nacheza rafu zile nyepesi nyepesi ambazo refa hawezi kuamua labda awe amehongwa na chadema kama yule ccj.
nyie mnataka ukumbi ibaki mibaba tu.
wewe mpalestina arafat kumbe choo hivyo tena cha kike.
mimi ningelikuwa na akili kama ya faiza ningefurahi sana. yule mdada akili inafanya kazi. ndio maana wanaume hapa wanamwogopa.
kunifungia mimi ni kunionea. nacheza rafu zile nyepesi nyepesi ambazo refa hawezi kuamua labda awe amehongwa na chadema kama yule ccj.
nyie mnataka ukumbi ibaki mibaba tu.
![]()
HALI NI TETE WAKUU.
Wana CCM wengi wakiona watu hawa wakongwe katika siasa ya nchi yetu basi wanakuwa na imani kwamba CCM katu haiwezi kufa piga uwa Garagaza. Mimi naona hawa wakongwe tayari wameanza kuwa na wasiwasi kwamba CHAMA kimepoteza dira na mwelekeo na kipo chini ya uangalizi mkubwa kwa kifupi kipo under - Intensive Care Unit.
Bungeni Moto, Sisi kwa sisi ndani ya chama ni moto, kwa wananchi nako moto, Kwa wapinzani hasa CHADEMA ndiyo moto balaa - Hali yetu ni tete wana CCM wenzangu.