Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 426
<br />Wadau Kikao kimecotton fire Chenge amemuingiza mjini Mwenyekiti kumbe ilitakiwa kabla hatujaanza kikao hiki ilitakiwa awe amejiuzulu na alikubali hivyo mbele ya Kikao cha maadili Lowassa ndo alikacha kabisa,Mwenyekiti kaumbuka ndani ya Kikao Wajumbe wamechachamaa Mkama toka alipoenda uani saa mbili hajarudi tena sijui leo kutakuchaje wanajf tusubiri tutaendelea kujuzana.
<br />
Mkuu Dawa ya Malaria tuko pamoja we endelea kutujuza yanayojiri