habari za hivi punde kutoka kwa mzee wa vijisenti ni kwamba, ameshinikizwa sana kujiuzulu. Ila ametamka wazi kwa watu wake wa karibu mm nikiwa mmoja wao, kwamba, akiondoka, anaondoka moja kwa moja hadi ubunge. Mzee anaogopa JK akammaliza kwa maana anafahamu madhambi mengi sana ya JK ambayo anaweza kulazimika kuyamwaga hadharani. Tulipoongea mwisho, kama kawaida alikuwa na dharau sana na hasira kwa mwenyekiti. Ameapa, mwendo ni ule ule wa RA. Akilazimishwa kung'oka ni mpaka ubunge... habari ndo hiyo. LA haguswi kariba robo tatu ya wana CC ni washirika wake. Akitoka naye JK anaondoka
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho kaka! Hata EL utafika mwisho wake tu.