Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 426
Kama siku urafiki wa EL na JK umeharibika kabisa basi ni leo. Kikao hichi huwezi kukiita ni cha chama tawala, nikama vile vikao vya wamama vya kusutana, na mwishowe hakuna maridhiano. Kambi ya jk kwisha kabisa. Watu wote kwenye system jk si watu wake 100%. Walio wake basi hawana nguvu za hoja kama vile pinda. Jamaa hajui la kusaidia. Anataka maridhiano wakati EL anataka jambo lifike mwisho. Chenge amesusa na mtasikia atachokiamua lakini sio kesho, lazima atie kiburi kidogo.
Nape mtamsikia atavyojikanyaga kesho. Hatotoa taarifa kamili, kwani maamuzi ya kikao itategemea kila mmoja ataamua nini baada ya leo.
Nina mashaka na source yako juzi ulituambia umeongea na Lema kwenye simu kuwa anamkutano Arusha J3 leo unasema umemsikia Lowassa akiongea kwenye simu wakati wengine wanasema yuko kimya si ujanja kudanganya watu kama huna source unasoma za wengine.
Haingii akilini mtu apige simu na aweke loud speaker kwenye kikao nyeti kama hicho! Au kikao kinafanyika gizani? Huyo aliepiga simu yuko mbali kiasi gani na jirani zake hata wasimuone anachofanya? Kama wao wanaamini kikao chao si cha siri si wangewaita waandishi wa habari? Let us be serious guys!
<br />Nina mashaka na source yako juzi ulituambia umeongea na Lema kwenye simu kuwa anamkutano Arusha J3 leo unasema umemsikia Lowassa akiongea kwenye simu wakati wengine wanasema yuko kimya si ujanja kudanganya watu kama huna source unasoma za wengine.
Nimegundua kwenye system tuliyonayo chama kina nguvu sana pengine kuliko serikali.Duh!
MALARIA SUGU amepigwa ban sasa nani mwingine atakayetupa taarifa? Faizafox, Omr, Kishongo ataabu tupu.
Haingii akilini mtu apige simu na aweke loud speaker kwenye kikao nyeti kama hicho! Au kikao kinafanyika gizani? Huyo aliepiga simu yuko mbali kiasi gani na jirani zake hata wasimuone anachofanya? Kama wao wanaamini kikao chao si cha siri si wangewaita waandishi wa habari? Let us be serious guys!
<br />Haingii akilini mtu apige simu na aweke loud speaker kwenye kikao nyeti kama hicho! Au kikao kinafanyika gizani? Huyo aliepiga simu yuko mbali kiasi gani na jirani zake hata wasimuone anachofanya? Kama wao wanaamini kikao chao si cha siri si wangewaita waandishi wa habari? Let us be serious guys!
Mzizi tupe updates hapo. Ama ndiyo unahangaika kuwakimbiza hao jamaa waliotokea mlango wa nyuma?
Kikao kimemalizika, kama tulivyojulishwa kwamba, mzee chenge amesusa, atatoa maamuzi within this week. EL yeye amekuwa mpole sana, ila kambi yake inaonekana kushinda hoja, na hakuna dalili la kuachia nafasi yoyote. Nape hatokuwa na la kuongea kwani hakuna maamuzi ya pamoja yaliyofikiwa. Kwahiyo watasubiri kila mtuhumiw ataamua nini.
Kikao kilikuwa kigumu sana.
hivi kwa nini tuliwapa hawa watu nchi?Kikao kimemalizika, kama tulivyojulishwa kwamba, mzee chenge amesusa, atatoa maamuzi within this week. EL yeye amekuwa mpole sana, ila kambi yake inaonekana kushinda hoja, na hakuna dalili la kuachia nafasi yoyote. Nape hatokuwa na la kuongea kwani hakuna maamuzi ya pamoja yaliyofikiwa. Kwahiyo watasubiri kila mtuhumiw ataamua nini.
Kikao kilikuwa kigumu sana.