MILLIONS MOVEMENT
Senior Member
- Aug 2, 2012
- 148
- 54
Inauma sana kwa tunaomfahamu Chagulani Adams pamoja na kuwa tunatofautiana kiitikadi alikuwa na amekuwa ndugu na rafiki yetu ambaye siku zote tunaheshimiana na kushauriana kwenye masuala ya kisiasa na maendeleo ya taifa letu la...Tanzania...... Amekuwa ni moja ya vijana waliojitoa muhanga kuipigania CDM kwa hali na mali tangu tulipokuwa mlimani, na hata wakati anakwenda kugombea udiwani kata ya Igoma hakusita kutafuta ushauri kutoka kwa watu mbalimbali aliokuwa akiwaamini. Its pirty kuona leo CDM wanamuondoa kijana ambaye ni resource kubwa sana ndani ya chama..... Naamini busara hekima vitatumika kuhakikisha haki inatendeka...............
Siasa ni pana sana kama anaona CDM wameshindwa kufahamu maono aliyonayo ni bora akabadili upepo,yeye hatakuwa wa kwanza kuna akina Kafulila,Mkosamali,Milya,Wasira na wengine wengi.Ruhusu ukubali kwa kutofautiana lakini sio kulazimisha hoja yako iwe msingi wa usaliti dhidi ya wale mliotofautiana.