Tatizo lako nini? Kama ameenda kinyume na kanuni za chama inabidi awajibishwe.swala kuwa naye udsm hicho ni kitu kingine.
Matata ni diwani wa kitangiri ni Muislam, kwa kukusaidia ni kaka yake na Farida Matata.
Last week alikuwa EATV alionekana yuko very composed na alisema hatagombea umeya kwa sababu lengo lake ni kukijenga chama. Mara anafutwa uanachama...duh, kweli kuishi kwingi kuona mengi!
Ritz uko sahihi,Matata ni diwani wa kitangiri ni Muislam, kwa kukusaidia ni kaka yake na Farida Matata.
Mkuu,Wamechemka! Wangetoa ONYO KALI. May be Mwanza hupajui? Wanamwanza hawana dogo!
Hapa bado kabisaa chama kichanga, full migogoro. Kikikua kitakuwaje????
Mwenzio Ritz anasema sababu ya dini, wewe unasema sababu siyo mchaga. Kule Arusha mbona kuna mchaga alikuwepo kati ya waliotimuliwa. Au walikosea mkuu.sababu chagulani sio mchagga ndio maana
Hapa bado kabisaa chama kichanga, full migogoro. Kikikua kitakuwaje????
Huyo Meya si imeonekana alishindwa kazi? Yaani CHADEMA nao mtu akiwa mwiba kwa viongozi walioshindwa kazi anafutwa uanachama!!!
ni muislam aliingiaje huku????????????????
Siku za CHADEMA Usukumani zinahesabika!
Kamati kuu imechemka, ilipaswa iwape ONYO then mengine ndio yafuatwe! ADAMU CHAGULANI NI KIONGOZI MWENYE UDHUBUTU, VERY INFLUENCIAL! CDM JIPANGENI!
Sasa ulitegemea nini, na huyo Adam Ibrahim.
Wananchi wa Mwanza wamewachagua Chadema wanawafukuza.
Ndio maana nawaambia vijana kila siku ukombozi mnaouzungumza mdomoni hautoshi, ingieni field muone kazi ilivyo ngumu. Sasa huyu Chagulani pamoja na jitihada zake za kuijengea CHADEMA imani kwa wanamwanza ambao wameshakuwa disappoited na CHADEMA anaishia kufutwa uanachama!!!