Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,387
Hili ndio swali ninalojiuliza kuwa kamatakamata hii kwenye siku hii ,ya leo yenye attention kubwa ya mpira wa Yanga na Simba imetokea kama coincidence au ni mpango mkakati?
Labda niulize kwanini weekend ndio wahakikishe wote wamekamatwa ili hali kosa uhaini halina dhamana?
Je, lengo ni kuhakikisha wiki inaanza wote wakiwa ndani?
Kama ni hivyo, hofu yao ni nini?
Labda niulize kwanini weekend ndio wahakikishe wote wamekamatwa ili hali kosa uhaini halina dhamana?
Je, lengo ni kuhakikisha wiki inaanza wote wakiwa ndani?
Kama ni hivyo, hofu yao ni nini?