Kamata kamata ya TANROADS, tuoneeni huruma

Kamata kamata ya TANROADS, tuoneeni huruma

Ni wasii madereva, ongezeni umakini barabarani serikali imelemazwa na makusanyo ya makosa barabarani na kuifanya chanzo tegemezi cha mapato,wasimamia hiyo sheria wanatumia nguvu kubwa na uonevu nao ukiwepo kuwapa watu faini. Wakati mwingine wanatia sana hasira!
 
QUOTE="Jay One, post: 26519485, member: 302487"]200,000 duuh[/QUOTE]
Jumlisha parking storage inakuja kama laki 290 hv
 
Ni wasii madereva, ongezeni umakini barabarani serikali imelemazwa na makusanyo ya makosa barabarani na kuifanya chanzo tegemezi cha mapato,wasimamia hiyo sheria wanatumia nguvu kubwa na uonevu nao ukiwepo kuwapa watu faini. Wakati mwingine wanatia sana hasira!
Nami ndo my concern yaani serikali imeshindwa kugundua njia nyengine za kuongeza mapato hadi kuweka sheria kandamizi hv...ila tuache bana lazima miundombinu ijengwe nami ndo ilikua gawio langu
 
Bodaboda mbona hawazikamati? Wauza mitumba na maembe wao ruksa sio?
 
Ni wasii madereva, ongezeni umakini barabarani serikali imelemazwa na makusanyo ya makosa barabarani na kuifanya chanzo tegemezi cha mapato,wasimamia hiyo sheria wanatumia nguvu kubwa na uonevu nao ukiwepo kuwapa watu faini. Wakati mwingine wanatia sana hasira!
tunaongezeana umasikini tu.
 
Bank mzee anataka bank moja tu af ilikua weekend...na storage charge kila siku elfu30
Hio storage chaji ni aina ya wizi na yenyewe unalipia bank,kama ni kulipia ofisini ni wizi kila kitu bank then chukua hizo risiti kaconfirm mamlaka husika je zinaingia serikalini au kwenye mifuko yao binafsi
 
Huu nimradi WA bashite kama mnakumbuka alitoa agizo lakuwakamata walewote wanao osha magari pembezoni mwa barabara ilikua ndio anatengeneza kiwanda sasaivi kinamzalishia faida tu hapa naandika nipokwenye daladala nakwenda kuikomboa gari yangu nimetakiwa laki3 inaniuma sana nazaidi yasana ila yanamwisho tu kiukweli watanzania kwasasa hatupo huru kabisaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom