Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kama ilivyo desturi tunapoelekea kufunga mwaka, kunakuwa na shamrashamra za Wananchi kufurahia kumaliza mwaka wakiwa salama na kuingia mwaka mpya.
Jeshi hilo limewataka Wananchi washerehekee kwa amani na utulivu sikukuu hiyo.
Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP, Justine Masejo amepiga marufu upigaji wa fataki na kuwataka wananchi ambao wanapenda kupiga fataki wafike katika ofisi za Jeshi hilo kupata vibali.
Jeshi hilo limewataka Wananchi washerehekee kwa amani na utulivu sikukuu hiyo.
Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP, Justine Masejo amepiga marufu upigaji wa fataki na kuwataka wananchi ambao wanapenda kupiga fataki wafike katika ofisi za Jeshi hilo kupata vibali.